Recent content by kidadari

  1. kidadari

    Ngorongoro ilishachukuliwa kitambo...

    Yana mwisho hata kama sio leo wala kesho
  2. kidadari

    Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

    Hii habari ina porojo nyingi sana...sababu kama 7000 hivi
  3. kidadari

    Boris Johnson calls for Ukraine to be sent more long-range rocket systems(MLRS)

    Ukraine ishakua uwanja wa kujaribia silaha kama ilivyo Syria libya na Iraq.....hayo mengine ni porojo tuu....usa hataki kabisa kujiingiza 100%kwenye hii vita maana anajua majibu yake yatakua hayavumiliki
  4. kidadari

    Boris Johnson calls for Ukraine to be sent more long-range rocket systems(MLRS)

    Ukraine ishakua uwanja wa kujaribia silaha kama ilivyo Syria libya na Iraq.....hayo mengine ni porojo tuu....usa hataki kabisa kujiingiza 100%kwenye hii vita maana anajua majibu yake yatakua hayavumiliki
  5. kidadari

    Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

    Yalikua maamuzi sahihi. Imagine umemkataza hajasikia na kaondoka show hua ni usiku mnene...unabaki na mawazo ya kinachoendelea . Mara nyingi ukipiga cm hapokei au anazima cm kabisa. Hasira zake akirudi usipime kabisa
  6. kidadari

    Beijing: China imefunga anga lake kwa ndege za Urusi aina ya boeing na Airbus

    Hawa wanacheza mchezo tuu mzigo unaandaliwa kwenda Taiwan
  7. kidadari

    Meli ya Iran yadakwa na Marekani

    Majibu yanakuja soon
  8. kidadari

    Ndege kupotea Selous na kutopatikana inamaanisha nini?

    Inatukumbusha ile ya Malaysia MH-370 iliyoleta kizazaa duniani
  9. kidadari

    Kwanini hatutumii treni kusafirisha mafuta?

    Kuwe na mtandao wa mabomba toka bandarini mpaka kila mkoa???
  10. kidadari

    Tupeane updates kuhusu mikopo ya Mabenki

    Kuchomoka kwenye mikopo ya bank ni jambo gumu sana....linahitaji mkakati wa kweli
Back
Top Bottom