ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,551
- 44,704
Katika uwasilishaji wa hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi 2022/2023 mMh.Waziri barawa(MB) alipata kusema kuwa ilitokea ajali mbili za Ndege moja ikiwa ni ndege ndogo inayomilikiwa na Kampuni ya PAMS Foundation ya mkoani Arusha ilipotea ikiwa na rubani kati ya Matemanga wilayani Tunduru na Kingupira kwenye hifadhi ya Selous na ilitafutwa kwa siku 28 bila mafanikio.
Katika fikra zangu najiuliza maswali mengi inawezekanaje mahali ndege ilipopotelea pajulikana halafu isipatikane. Nalifahamu pori la Selous na hata Wilaya ninayoishi nimepakana nalo lakini je kweli Serikali na utalaam wote ishindwe kupata hiyo ndege kwanini?i Ingekuwa baharini kweli tungesema sawa hata isipopatikana lakini msituni tu ina maana hakuna vyombo maalumu vya kutrace mavitu ya chuma yaliyopo porini?
Katika fikra zangu najiuliza maswali mengi inawezekanaje mahali ndege ilipopotelea pajulikana halafu isipatikane. Nalifahamu pori la Selous na hata Wilaya ninayoishi nimepakana nalo lakini je kweli Serikali na utalaam wote ishindwe kupata hiyo ndege kwanini?i Ingekuwa baharini kweli tungesema sawa hata isipopatikana lakini msituni tu ina maana hakuna vyombo maalumu vya kutrace mavitu ya chuma yaliyopo porini?