Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Tunasikia kule Loliondo ndugu wakichomwa moto na Serikali, kisa Serikali inalinda mkataba wa Mwana Mfale wa UAE ambaye ni mwekezaji. Kule Serengeti mkataba wa Grumeti unamfanya mwekezaji anyenyekewe na dola na Wananchi wananyanyaswa. Only in Tanzania!
Je wale nzi wetu wanaweza kututafutia hiyo mikataba tuichambue?
Je wale nzi wetu wanaweza kututafutia hiyo mikataba tuichambue?