MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,114
- 3,768
Wizara ya Usafirishaji na Miundombinu Nchini Uchina imezipiga Marufuku ndege za Urusi Aina ya Boeing na Airbus Kupita kwenye Anga la China kwasababu za Kiusalama.
Hii inakuja baada ya Shirika la ndege la Urusi Kuzitaifisha ndege zilizokodiwa kutoka Makampuni ya Ulaya na Marekani Aina ya Boeing na Airbus Kama njia ya kulipa kisasi Cha vikwazo vya nchi za Magharibi baada ya Uvamizi wake Nchini Ukraine.
Serikali ya China inahofia Usalama wa ndege Hizo zaidi ya 500 zenye thamani ya $ 11B baada ya Nchi za Magharibi kusema zitasitisha huduma za kitaalam kwa ndege Hizo na Kuzuia Vipuli vya ndege Hizo kwenda Nchini Urusi.
===
China is prohibiting Russian Boeing and Airbus aircraft owned by foreign leasing companies from flying through its territory.
According to the Russian news outlet RBK (RBC Group), the ban affects equipment whose legal status has not been confirmed following Western sanctions as a result of Russia’s invasion of Ukraine and their re-registration in Russia.
According to the report, China has requested proof that the aircraft in question are no longer registered outside of Russia. The sanctions imposed by the West in response to the Russian invasion of Ukraine on February 24 provide context. Because of the military assault authorized by the Kremlin, the EU and the US have banned the supply, maintenance, and insurance of civilian aircraft and spare parts to Russia.
Western leasing companies that have terminated their Russian contractors own a large portion of Russia’s air fleet. Moscow, for its part, has refused to return the planes and has re-registered them without delay.
In May the Chinese aviation authorities asked all airlines, not only Russian ones, to update electronic dossiers (portfolios; they contain information about aircraft, owners of airlines, and ground handling contracts). Requesting such portfolios is a standard procedure. But according to RBK, the procedure has been recently amended in China.
According to RBK, the airlines have been unable to produce such documents. This is why the Chinese aviation authorities, observing the international air law, denied the flights of such planes.
Credit: AirWays Magazine
Hii inakuja baada ya Shirika la ndege la Urusi Kuzitaifisha ndege zilizokodiwa kutoka Makampuni ya Ulaya na Marekani Aina ya Boeing na Airbus Kama njia ya kulipa kisasi Cha vikwazo vya nchi za Magharibi baada ya Uvamizi wake Nchini Ukraine.
Serikali ya China inahofia Usalama wa ndege Hizo zaidi ya 500 zenye thamani ya $ 11B baada ya Nchi za Magharibi kusema zitasitisha huduma za kitaalam kwa ndege Hizo na Kuzuia Vipuli vya ndege Hizo kwenda Nchini Urusi.
===
China is prohibiting Russian Boeing and Airbus aircraft owned by foreign leasing companies from flying through its territory.
According to the Russian news outlet RBK (RBC Group), the ban affects equipment whose legal status has not been confirmed following Western sanctions as a result of Russia’s invasion of Ukraine and their re-registration in Russia.
According to the report, China has requested proof that the aircraft in question are no longer registered outside of Russia. The sanctions imposed by the West in response to the Russian invasion of Ukraine on February 24 provide context. Because of the military assault authorized by the Kremlin, the EU and the US have banned the supply, maintenance, and insurance of civilian aircraft and spare parts to Russia.
Western leasing companies that have terminated their Russian contractors own a large portion of Russia’s air fleet. Moscow, for its part, has refused to return the planes and has re-registered them without delay.
In May the Chinese aviation authorities asked all airlines, not only Russian ones, to update electronic dossiers (portfolios; they contain information about aircraft, owners of airlines, and ground handling contracts). Requesting such portfolios is a standard procedure. But according to RBK, the procedure has been recently amended in China.
According to RBK, the airlines have been unable to produce such documents. This is why the Chinese aviation authorities, observing the international air law, denied the flights of such planes.
Credit: AirWays Magazine