Mzee mwanakijiji umenena ya kweli hapo, hii issue ya ufisadi/ufujaji wa mali za umma inaniuma sana na siyo kwamba naona wivu eti so and so ana mali nyingi ni kwamba nikitembea pande nyingine duniani napata picha tofauti sana jinsi wanainchi wanavyoishi na kutawaliwa. Kinachouma zaidi ni uhaba wa...
mhe. king'asti quarantine kitu gani? hii ni kama disaster yoyote nyingine inayoinusuru nchi yetu( assuming tutanusurika this time pia) yaani kudra za mungu tuu, wengine watasema kunywa kikombe eti imani ni tiba. Inasikitisha ya kwamba kuna mtu kibao in "sina habari" mode right near the border...
mungu alaze roho za waathirika mahali pema peponi, kusema kweli ebola si utani kinachotisha ni how close uganda is to tz halafu udhaifu wa disaster response teams zetu or lack thereof.
Nakumbuka miaka ya 90 na kitu nilikuwa nasoma sekondari hapo Dar, ebola ikazuka Zaire ikaleta wimbi la...
Acha dharau wewe, hii kitu nchi za watu ni business cycle tu, yaani mzunguko wa biashara miaka nenda rudi, kuna nyakati biashara ni nzuri na kuna nyakati biashara inakuwa balaa. Hii business cycle inaruhusu wajanja kununua bidhaa kama vile miundombinu nk kwa bei rahisi maana mfanyabiashara...
hii issue inasikitisha saaaana, mi naunga mkono kulaani hili dili maana ni yale yale tangu enzi zile. Lakini tukiangalia kwa makini nani ana uwezo wa kuing'oa CCM?
Sisemi kama mtu aliyetumwa bali naangalia hali halisi yaani "current circumstance" sipati picha CCM ikiachia ngazi bila fujo au...
(Reuters) - Senior EU officials began a three-day visit to Mozambique and Tanzania on Thursday as the European Union looks to bolster aid and development in a rapidly growing region of Africa that sits on vast reserves of offshore gas.
European Commission President Jose Manuel Barroso and...
US firm faces Tanzania land grab accusations
Sunday, 15 July 2012 11:22
A peasant tends her crop in Tanzania. A major US energy company, AgriSol Energy, is accused of engaging in land grabs in Tanzania. photo | FILE
Washington, Saturday. A major US energy company, AgriSol Energy, is...
Hii sakata naona haitaki kuisha, i really dont know how low we as Tanzanians can fall, lakini haki ya mungu bongo kila kitu ni dili tu. Naomba watu wenye info on the ground watu-update basi, yaani bila hii JF kuna mambo mengi yasingelijulikana hata. Sasa kama twiga ni dili, hiyo gesi...
haki ya nani sijui tanzania tunaenda wapi, kila leo ni aibu moja baada ya nyingine when will it end? Namhurumia mtu yeyote atakayeajiriwa katika huu mgodi, labda tufanye case study ya radiation levels ya wafanyakazi alafu mtabaki shangaa. Jamani hii uranium ni mafuta ya mitambo kama ile ya...
yarabi toba! Are yuu sirius? Hivi mnaona hii kitu ni kama utani ama? Ebwanaee athari za uchimbaji wa uranium zinatisha, tafadhali sana kama hujapata habari ukagoogle "effects of uranium mining" halafu mje tujadili zaidi kuhusu hii anasa. Ni dhahiri kwamba kuna nguvu fulani yaani powers that be...
kweli wajinga ndio waliwao! Angalau hao viongozi wanaosign hiyo mikataba batili wangejinufaisha kiukweli, sio kupokea vijisenti halafu mzungu anafaidi kinoma, yaani hakuna akili kabsaa, cha kushangaza zaidi bado mnawapa kura. Unajijua mwenyewe ingawa bado hujapata pilau au shati la ccm, ulipiga...
dearest faiza foxy, wazo lako kweli ni zuri kuhusu uwekezaji na maendeleo kwa ujumla, in most of the world, people get "relocated" from time to time for one reason or another and by doing so receive "fair" compensation, in the US kuna kitu kinaitwa "imminent domain", hii kitu ni sera ya serikali...
kweli wajinga ndio waliwao, yaani utafikiri ni epidode ya "vitimbi"maanake miaka nenda rudi, story ni ile ile "oooh wajanja wamechangamkia dili, serikali itafanya nini?" lakini ndugu zangu nakwambieni ya kwamba ole wako uliepigia kura ccm alafu unalalamika jinsi hali ilivyo, umejitakia mwenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.