King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Pamoja na kuanikwa huu uozo toka mwaka jana tunafanyaje juhusu hili? Manake hii habari ipo humu toka last year, Zitto, Mnyika, tunategemea kuwasikia mkihoji juu ya haya. Ili hata kama hakuna matokeo chanya walau watu wengi zaidi wajue hii manake hakuna gazeti wala tv itataja hii. Naanza kusikia harufu ya zimbabwe hapa, akiingia mwenye uchungu na nchi hii anaweza kujikuta anafanya yale ya Mugabe. Dah!