Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,494
- 17,368
Wao wamechukua pesa yoote kufanyia matakwa yao ya kisiasa leo anaweweseka kufanya mambo yatakayochimbia kaburi chama chao..nawasubiri watoe muongozo wao fake waone!hivi bunge gani limepitisha upuuzii huu??sijasikia likijadiliwa kabisa!inaonekana wamepenyeza kisanii kushirikisha wabunge dhaifu..wale wanaolala na kuamkia kupiga makofi kumbe hoja ilikuwa kuwatoa nje wanaolala!!aibu!!natamani kura ingekuwa week ijayo!! Wangeiba zoote maana wasingepata hata zao na wake zao wasingepata