Recent content by KichwaBOGA

  1. KichwaBOGA

    GE2020 SPECIAL THREAD: Taarifa za Kampeni na Sera za Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Hashim Rungwe Sipunda

    Niko na kalamu na dairy hapa napanga safu ya ushindi na kamati ya kuratibu mipango ya kampeni kumpeleka magogoni kipenzi cha watu chaguo la wote jembe HASHIMU RUNGWE...Sasa tujuane hapa nijue nani nimuweke wapi...
  2. KichwaBOGA

    Neno/Ujumbe kwa wanaume wote

    Mwanaume ukiwa huna hela amini nakuambia, mwanamke atakayekupenda kwa dhati ni MAMA yako tu.
  3. KichwaBOGA

    Urembo raha jamani

    Nahisi urembo wangu umevuka mipaka, wanaume wanahangaika sana kunipata adi nawahurumia kuna wanaonihonga viwanja wengne magari adi wengne wameacha adi familia zao kunipata mie kichwaBOGA. Sijui wanavutika kwa fesi yangu pua ya kitusi, au pengne uno langu matata. Au ni K yangu yenye hadhi ya 5G...
  4. KichwaBOGA

    Utacheka hadi mbavu ziume

    Jamaa mmoja kenda ukweni yeye na mke na watoto, njiani wakanunua mazagazaga ya kumpa mama mkwe, wakaenda wewe siku nzima coz ukweni ilikuwa mbali ndo ivo kwa uchovu wakafika walipokelewa vizuri kwa furaha na hadithi yangu imeishia apo
  5. KichwaBOGA

    Watu wa Geography...

    kofimoritology
  6. KichwaBOGA

    Somo la mapenzi lifundishwe mashuleni

    Leo nakuja kivingine ka mwanamke wa kitanzania niliefundwa nikafundika iko changamoto kubwa nayo ni uelewa hafifu au hata tuseme ujinga katika uga wa mapenzi. Migogoro mingi katika jamii ina-root back to love affairs mafunzo ya mapenzi hayafundishwi kokote katika mifumo rasmi tukiacha...
  7. KichwaBOGA

    Namtafuta Ex-wangu

    Nimedetiwa na wengi ila huyu kiboko, anaitwa Denis James Kizitto. Huyu mkaka tulikutana mara ya kwanza hapo Mlimani City nikiwa kwenye shopping zangu akanitrap nikatrapika tukaanza mambo yetu. Tulipotezana ka 2year ago akidai anaenda kwao Mbinga, simu yake haipatikana yaani naumia in-short...
  8. KichwaBOGA

    Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

    Naandika uzi huu nikiwa na hasira,uchungu na kisirani mpaka nahisi kichwa kuwaka moto natetemeka na jazba hadi kifuani nimebanwa..natype hapa vidole vinatetema pia why coz karne ya 21 bado kuona kuna madume yenye vichwa viwili yanapiga wanawake,shame on them.. Mwanamke kwanza hakosei therefore...
  9. KichwaBOGA

    Natia nia ya kuolewa

    Muda wowote naolewa nikipata mchumba mwenye ela..sipend vibamia wenye navyo mkae kando ---------------- UPDATE ____________ Majuzi kati mie kichwaBOGA Mtoto mrembo toka familia ya kitajiri nilitangaza nia ya kuolewa nishapokea maombi ka miatano ya wanaume, nimewavet nkagundua wote amna kitu...
  10. KichwaBOGA

    Harrison Mwakyembe afanya siasa za udini kanisani Mbeya

    Nimesoma andiko la kaka yangu malisa kwa makini sana nione msingi wa tuhuma zake kwa mwakyembe nikaishia kuona porojo za kisiasa tu...malisa wewe ni mkristo,tuambie ni andiko gani linaloharamisha siasa kufanyikia mahala pa kukutania ambapo wewe umepaita 'kanisa' ingawa kanisa ni kitu kingine...
  11. KichwaBOGA

    Kama mnajua hamna chaji, ya nini kututia shombo?

    Hivi kwanini mnajidhalilisha? Iko hivi, kuna mkaka mmoja alinitoa..anaonekana dume six pack ila hamna kitu kwenye gemu. Eti dakika 5 kashamaliza anahema ka mjusi hata hajielewi, akazima kabisa nikampepea akazinduka hawezi round nyingine. Kama mnajua hamna chaji ya nini kututia shombo?
  12. KichwaBOGA

    Ninakuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume wa watu tu

    At first kabisa nikiwa darasa la tano nilibongonyolewa na mwalimu wangu wa kiswahili mume wa mtu akanitema baada ya mke wake kushtukia mchezo. Nimeenda wee nikawa natoka na mmoja mume wa mtu pia nikiwa fomu two akanipachika mimba akasepa ikabidi niende kuishi alipoolewa dadangu Yombo vituka apo...
  13. KichwaBOGA

    Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

    afu nyie wanaume mwatuchukuliaje?siye easy kabisa kututeka ila current men hamko romantic hamjui ku-care,mko mabahili,sex la kuungaunga..majim mnapiga sijui mwatafta masixpak yenu ila mko low charged kwa bed..nyooo!!!
  14. KichwaBOGA

    Nilimtongoza akakataa, nikamtongoza Best Friend yake akanikubali. Sasa imekuwa Nongwa

    nyie wanaume mnatutesa ety..sasa kukukataa kidogo ka kukutest ndo uhamishe majesh kwa rafk angu..
Back
Top Bottom