Recent content by KICHUNA CHANGU

  1. K

    Riwaya ya angamizo 15

    RIWAYA YA KIPELELEZI: ANGAMIZO MWANDISHI: HALFANI SUDY SIMU 0674 395733 WHATSAPP 0757 633010 SEHEMU YA KUMI NA TANO Hakuwa mvutaji hata wa sigara. Lakini hakuruhusu hata kukohoa. Alijua kukohoa tu ataonekana dhaifu mbele ya watu wale. Safari isiyojulikana ilifika mwisho. Ilikuwa nje kidogo ya...
  2. K

    Riwaya Angamizo 14

    RIWAYA YA KIPELELEZI: ANGAMIZO MWANDISHI: HALFANI SUDY SIMU 0674 395733 WHATSAPP 0757 633010 SEHEMU YA KUMI NA NNE Daniel hakusubiri. Alichukua lile begi lenye laptop na kutoka nalo nje akiwa anakimbia. Akitafuta hotel salama na kujifungia ndani peke yake.Tayari kuifungua ile laptop yenye siri...
  3. K

    RIWAYA YA ANGAMIZO13

    RIWAYA: ANGAMIZO MWANDISHI: HALFANI SUDY SIMU 0674 395733 WHATSAPP 0757 633010 SEHEMU YA KUMI NA TATU ILIPOISHIA JANA... Avast anaenda Dar es salaam kesho kuifata laptop yenye siri nzito. Daniel anaenda Dar es salam kesho kuifata laptop hiyo hiyo yenye siri nzito! Wasakana! Watakutana Dar es...
  4. K

    RIWAYA YA ANGAMIZO 11

    RIWAYA: ANGAMIZO MWANDISHI: HALFANI SUDY SIMU: 0674 395733 WHATSAPP 0757 633010 SEHEMU YA KUMI NA MOJA ILIPOISHIA JANA Alikufa kifo kinachofanana na cha Mayasa!. Alikufa kifo kinachofanana na cha Raiya ! . alikufa kifo kinachofanaa na cha afande John. Yule jamaa nae alivuka ngozi! Kumbe yule...
  5. K

    RIWAYA YA ANGAMIZO 10

    RIWAYA YA KIPELELEZI: ANGAMIZO MWANDISHI: HALFANI SUDY SIMU 0674 395733 WHATSAPP 0757 633010 SEHEMU YA KUMI ILIPOISHIA JANA Abdul nae alianza kutetemeka mwili mzima kwa hofu. Alimwangalia Daniel kule nyuma ya mlango, alimshangaa hakuwa na hofu kabisa mwanaume yule !. Kwa hakika Daniel hakuwa...
  6. K

    RIWAYA YA ANGAMIZO 9

    RIWAYA: ANGAMIZO MWANDISHI: HALFANI SUDY SIMU 0674 395733 WHATSAPP 0757 633010 SEHEMU YA TISA ILIPOISHIA JANA... Itakuwa ni kundi moja kama siyo muuaji mmoja. Lakini awe mtu kiwe kikundi nitahakikisha hafanyi mauaji mengine ya raia wema !" Alisema kwa uchungu mkubwa Daniel. Waliondoka pale...
  7. K

    RIWAYA YA ANGAMIZO 8

    RIWAYA: ANGAMIZO MTUNZI: HALFANI SUDY SIMU 0674 395733 WHATSAPP 0757 633010 SEHEMU YA NANE ILIPOISHIA JANA... Maiti yake iliokotwa asubuhi katika uwanja wa mpira wa chuo ikiwa haitamaniki! Ngozi iliokotwa upande wa goli la kaskazini. Kiwiliwili kisicho na ngozi kiliokotwa karibu na goli la...
  8. K

    RIWAYA YA ANGAMIZO 7

    RIWAYA: ANGAMIZO MWANDISHI: HALFANI SUDY SIMU 0674 395733 WHATSAPP 0757 633010 CHUKI ni kitu kibaya sana. Siku zote chuki ina matokeo mabaya kwa wote, anayechukia na anayechukiwa. Tuache kuikumbatia chuki moyoni mwetu, kuikumbatia chuki moyoni ni sawa na kulikumbatia kaa la moto katikati ya...
  9. K

    RIWAYA YA ANGAMIZO 6

    RIWAYA: ANGAMIZO MTUNZI: HALFANI SUDY SIMU: 0674 395733 SEHEMU YA SITA Mpende sana mama yako. Tuwaheshimu mama zetu. Tuwajari sana. Usimdharau hata siku moja mama yako. Mama ni kila kitu katika maisha. Ukimdharau mama basi ni sawa na kuitafuta laana kwa nguvu. Tuwaombee sana mama zetu kwa...
  10. K

    RIWAYA YA ANGAMIZO 5

    RIWAYA: ANGAMIZO MTUNZI: HALFANI SUDY SIMU: 0674 395733 WHATSAPP: 0757 633010 SEHEMU YA TANO ILIPOISHIA JANA..... Walimaliza kuongea na Mayasa saa nne usiku. Walikodi gari iliyowarejesha Arusha mjini. Sasa Abdul alihamia himaya mpya. Himaya ya Mayasa, alimkabidhi kila kitu Mayasa kuhusu maisha...
  11. K

    RIWAYA YA ANGAMIZO

    RIWAYA: ANGAMIZO MWANDISHI:HALFANI SUDY SIMU 0674395733 WHATSAPP 0757633010 Sehemu ya Tatu ILIPOISHIA JANA " Sasa Abdul mimi nitakupa hela" "Nitashukuru sana yaani dada yangu" "Lakini kwa sharti moja tu" "Nipo tayari kufuata sharti lolote Raiya" "Kweli ?" "Kweli nakwambia" SONGA NAYO SASA...
  12. K

    ANGAMIZO

    RIWAYA: ANGAMIZO MWANDISHI:HALFANI SUDY SIMU 0674395733 WHATSAPP 0757633010 Sehemu ya Tatu ILIPOISHIA JANA " Sasa Abdul mimi nitakupa hela" "Nitashukuru sana yaani dada yangu" "Lakini kwa sharti moja tu" "Nipo tayari kufuata sharti lolote Raiya" "Kweli ?" "Kweli nakwambia" SONGA NAYO SASA...
  13. K

    RIWAYA YA ANGAMIZO

    RIWAYA: ANGAMIZO MTUNZI: HALFANI SUDY SIMU 0674 395733 WHATSAPP 0757633010 SEHEMU YA PILI ILIPOISHIA JANA "Tunaweza kuonana baadae sehemu tofauti na hapa?" "Bila shaka" WalibadiLishana namba zao za simu palepale kwenye foleni. Zoezi la usajili lilichukuwa saa zipatazo tano. Hatimaye Abdul...
  14. K

    Riwaya ya angamizo

    pamojaaaaaa sana
  15. K

    Riwaya ya angamizo

    RIWAYA: ANGAMIZO MWANDISHI: HALFANI SUDY SIMU: 0674 395733 Whatsapp 0757 633010 Sehemu ya Kwanza. Ilikuwa jumatatu tulivu sana katika mitaa ya jiji la Arusha, jiji lilipo kaskazini mwa nchi ya Tanzania. Jumatatu iliyoanza kwa manyunyu ya mvua na radi kidogo katika Jiji hilo la Arusha...
Back
Top Bottom