Duuuhhh, Watanzania bado kabisa kuelimika hawa ndio wanaojiita wasomi wa nchi hii wamesoma na kutafakari historia ya Lowasa wameamua kujilipua na kuzidi kuongeza umaskini na rushwa kwenye nchi hii. Washihili husema "Wajinga ndio waliwao" Hawa watu wakifanikisha kumpitisha huyu mla rushwa na...
Wewe na abiria mliokuwemo humo ndio wenye matatizo utamwachache dereva anawarusha hovyo, ikitokea ajali nyie ndio mnaanza kulamumu polisi wakati nyi wenyewe mnauwezo wa kumuonya asiendeshe hovyo na asipotii anyo lenu simu lukuki za polisi zipo ni kuchukua hatua muafaka
Nakubaliana na wewe kwa 50% na 50% sikubaliana kabisa na ulichoandika, kushusu Lowasa ni kweli hafai na ajitafakari na ajipime na kukaa pembeni kwanza hana sifa na busara ya uongozi zaidi ni selffish yeye na makundi yake kufikiria kunyonya watanzania na kujitajirisha. Kuhusu CCM kendelea...
Umenena, binafsi nashangaa sana kila leo kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ni Lowasa na urais 2015. Record zake zinajulikana na ziko wazi hata Nyerere tuanyemuenzi alimkataa tena wakati huo kabla hata ya skendo yake ya Richmond. Nafikiri sisi kama watanzania inafikia wakati...
Hii barabara ni majanga na aibu kubwa hao wahandisi wa TANROADS wamekalia ufisadi tu wanazunguka nchi za wezetu kuna barabara zenye design nzuri ajabu halafu wanakuja kuleta vioja yaani sehemu zote kungia upande wa pili ni majanga kuanzia hapo Tanki bovu, maenea ya karibu na engeni, kungia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.