Taarifa kwa vyombo vya habari

Taarifa kwa vyombo vya habari

UVCCM sikuhizi ndiyo kikosi cha waasi hahaaaa................ Usituletee upuuzi hapa watanzania wanaona.


Mods ondoeni huu ushuzi
 
  • Thanks
Reactions: BAK
chadema nyie ni akili ndogo kuongoza akili kubwa, kwann mnawakanyaga watu wenye mawzo mazuri kama huyu bwana?? look at you
 
Fukuza mamluki wote ndani ya CHADEMA wanaodhani wao wako juu zaidi kuliko chama. Wasiruhusiwe kuingia hata ofisi za chama popote pale nchini.
 
cjakuelewa. inamaana hapa unaongea na waandish wa habar au unaongea na wanajamiiforum ukiwa nyuma ya keyboard.
 
Mnapiganaia demokrasia halafu manajificha ............. mbona hicho ni kituko cha mwaka. Kama ni kweli basi jitokezeni wote kwa pamoja ili muonyeshe nguvu zenu la sivyo itakuwa mnamtishia nyau mtu mzima.
 
LOL!!! Hawaamini kama sterling amekufa, wamebeba mwili na kuupeleka ICU wakitegemea atafufuka ili movie yao ya umamluki iendelee.

Kuna watu mna roho ngumu zaid ya Paka.
Starrling wenu MM kasha kufa....movie imeisha hiii....
 
Naona usalama wa tf, zitt na mkumb wako kazini kwa mara nyingine, acheni kutufanya sisi watoto wadogo mchezo mnaocheza tumeshaujua mnatengeneza mazingira ya ajali. We are ahead in every step
 
Back
Top Bottom