Recent content by Kichangiri

  1. Kichangiri

    Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

    Kitu huwez amini ukiwa na sedan njia ya kufunguka utaenjoy kuliko hizo SUV unazosema. Zile hata kona ukilala nayo unaona kama ndo mnaanguka. Ila sedan utawala tuu. Nimesafiri Moshi Dar na harrier tako la nyani zaidi ya mara moja tena ikiwa imekula nundu imetamia vizur ila kwenye kona hofu...
  2. Kichangiri

    Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

    Mi ninayo grs180 mkuu hizi gari watu wanaziogopa tuu. Wese la 50k napiga town trips zangu toka mbezi beach to kariakoo kila siku week nzima. Ukiikanyaga vizur highway RPM iwe 2000 ikizid sana 3000 unapata consumption ya 14km/h ambapo ukiweka wese full tank 70Litres tena petrol station kama GBP...
  3. Kichangiri

    Hii tabia ya maneno tata ya wasanii wa Singeli sio sawa

    Hiyo haina tabu. Sio sawa na mtoto wa kiume kusifia kuwa mwanaume ni mtamu kwake
  4. Kichangiri

    Hii tabia ya maneno tata ya wasanii wa Singeli sio sawa

    Kweli ndugu. Kuna sehemu unapita unakuta katoto kanafanya kitu unajiuliza hivi ingekuwa kwetu si angekuwa hospital sahivi😁
  5. Kichangiri

    Hii tabia ya maneno tata ya wasanii wa Singeli sio sawa

    Imekaa kiupinde upinde hv
  6. Kichangiri

    Hii tabia ya maneno tata ya wasanii wa Singeli sio sawa

    Kumekuwa na tabia ya wasanii wa singeli kuimba kauli tata na watu kuchukulia poa. Mfano unakuta mwanaume anaimba “mume wa mtu sumu ila kwangu mtamu” hivi hii iko sawa kweli? Kwanini mamlaka husika wasikemee hili?
  7. Kichangiri

    Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

    Mimi baada ya kumaliza chuo nkapata kazi kampuni moja moshi 2017, walikuwa wakinilipa 350k take home niliona nyingi, mwaka mmoja nkaacha nkapata kazi kampuni nyingine dar, nkajikusanya nikapata kama 3m hv,, bosi akasema kampuni haijiendeshi kwa faida maana miradi ilikata hivyo tukapunguzwa...
  8. Kichangiri

    Nini kimeiua Tips Lounge?

    Woodland moshi au. Vp sahv hapaamshi tena? Nakumbuka december tulikuwa hapo palikuwa pamoto sanaaa
  9. Kichangiri

    Natafuta mtu wa ku-share eneo la kufanyia biashara

    Umesoma hadi mwisho kweli? Maana kwangu inasomeka anataka mtu wa kufanya nae biashara Arusha au kwako haipo mkuu
  10. Kichangiri

    Tuambie jina lako la Burundi unaitwa nani?

    Kichyangirye ndinditya
  11. Kichangiri

    Naomba mawazo yenu wadau biashara gani nifanye kwa maeneo haya?

    Direct to the point. Wakuu baada ya hustling za maisha Dar nataka nikafanye biashara kati ya Dodoma au Manyoni. Nimepata kufanya biashara ya vipodozi (cosmetics) au vifaa vya simu. Naomba kwa wajuzi wa maeneo hayo je biashara ipi itakuwa inatoka? Na je kati ya Dodoma na Manyoni wapi kidogo...
Back
Top Bottom