Kichangiri
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 331
- 670
Direct to the point.
Wakuu baada ya hustling za maisha Dar nataka nikafanye biashara kati ya Dodoma au Manyoni. Nimepata kufanya biashara ya vipodozi (cosmetics) au vifaa vya simu.
Naomba kwa wajuzi wa maeneo hayo je biashara ipi itakuwa inatoka? Na je kati ya Dodoma na Manyoni wapi kidogo pana afadhali.
NB Natarajia kuanza na mtaji kati ya m5 hadi m7
Wakuu baada ya hustling za maisha Dar nataka nikafanye biashara kati ya Dodoma au Manyoni. Nimepata kufanya biashara ya vipodozi (cosmetics) au vifaa vya simu.
Naomba kwa wajuzi wa maeneo hayo je biashara ipi itakuwa inatoka? Na je kati ya Dodoma na Manyoni wapi kidogo pana afadhali.
NB Natarajia kuanza na mtaji kati ya m5 hadi m7