Recent content by kichakani

  1. K

    JamiiForums Tanzania Israel yapiga inapotaka haimuogopi mtu na hakuna anayewalaumu

    Israel afanye uonevu wake kwa taifa dogo Kama Palestine Bali akija akigusa urusi ndo utaposikia Kuna wakimbizi kutoka Israel wamefika Hadi bongo wanatafuta hifadhi ya kukaa nahisu hata ramani ya nchi yao sijui Kama itakuwepo tena
  2. K

    JamiiForums Tanzania Israel yapiga inapotaka haimuogopi mtu na hakuna anayewalaumu

    Vizur Sana Israel lkn siku.moja itakuwa zamu yako kwani mungu Hana haraka mfano mdogo kawaletea kidudu kidogo tuu kirusi Cha Corona mnapukutika Kama kunguni nje hamtoki kwann Sasa chukuen mizinga mkibabue huo ndio uwezo wa mungu Sasa tulia zamu yako iko njian unaangaliwa tuumuulize babu yako...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Asili ya familia ya Hayati Mzee Karume

    Daaah kazi ipo
  4. K

    JamiiForums Tanzania Hoja za Dkt. Hussein Mwinyi zinatosha kumpa nchi Oktoba 28

    Bado mtoto was balozi nae kugombania Zanzibar hahahahah Zanzibar aslili yake no usultan Sasa ndio tunafata mfumo huo
  5. K

    JamiiForums Tanzania Hoja za Dkt. Hussein Mwinyi zinatosha kumpa nchi Oktoba 28

    Ishara yai udikteta
  6. K

    JamiiForums Tanzania Hoja za Dkt. Hussein Mwinyi zinatosha kumpa nchi Oktoba 28

    Tatizo viongoz wa ccm Zanzibar baada tu ya kuchaguliwa hawana Tena mamlaka ya kufanya llte wanakuwa Kama wanaendeshwa kikubwa ni Kuna Mali na ardhi na kujimilikisha wenyewe huyo mwinyi nae Hana jipya anakuja kuongeza maeneo aliyaacha babakee wazidu kula Bata hi ndio Zanzibar bwana hapa kwangu...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kamata kamata na kile kinachoendelea Pemba, IGP Sirro sikiliza ushauri huu

    Ushaur wangu kwa viongo wote was kisiasa na kidini acheni kugombna kwa dunia Kama mnajua haina Faida yyte kwenu fitna ni mbaya wangap walikuwepo na madaraka yao mpaka ilifikia hatua ya kujiita mungu leo wamelala kwenye tumbo la ardhi
  8. K

    JamiiForums Tanzania Ushahidi Gwajima ananunua kadi za wapiga kura Kawe

    Siasa is a game
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mwanamama Tapeli wa Vodacom Akamatwa Dar

    wapatie ile kitu roho inapenda lafiki k
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mwanamama Tapeli wa Vodacom Akamatwa Dar

    mbona wanaintelijesia watafidi unadhan uko machame ? uko bongo wape tigo upotee zko
  11. K

    JamiiForums Tanzania Utafiti: Wanaume wanapenda wanawake wenye makalio makubwa

    hizi tafiti nazo ?
Back
Top Bottom