Historia inavyosema, Marehemu MzeeKarume alikuja Zanzibar na wazazi wake wakitokea Malawi, walikuwa ni wananchi wa Malawi, lakini wakati huo Tnaganyika, Zanzibar na Maliwa zilikuwa chini ya mamlaka ya Uingereza ( ama makoloni ya UK ).
Jee Familia ya akina Karume walikuwa watu wenye asili ya kibantu, kabila la : Chewa, Nyanja, Yao, Tumbuka, Lomwe, Sena, Tonga, Ngoni au Ngonde, tukijua kuwa kabila kubwa zaidi Malawi ni kabila la Chichewa (Chewa)
Jee Familia ya akina Karume walikuwa watu wenye asili ya kibantu, kabila la : Chewa, Nyanja, Yao, Tumbuka, Lomwe, Sena, Tonga, Ngoni au Ngonde, tukijua kuwa kabila kubwa zaidi Malawi ni kabila la Chichewa (Chewa)