Naomba mwenye data inayoonesha idadi ya wakristu na waislam waliohitim vyuo vikuu mwaka huu. Pia Naomba data ya wakristu na waislam waliohitim vidato vya nne na sita mwaka huu ili tumshauri huyu mwandishi aongeze taarifa hizo kwenye jedwali lake pia
I will be happy Trump akiwa Rais Na Kama ataweza kutekeleza hizo sera kwa mafanikio. You cannot have a country with state of fear at all time. Funga mipaka, safisha nchi Na zuia immigrants ili hizo nchi zichukue primary responsibility ya kumaliza terror plans.Siyo marekani itumie billions of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.