Recent content by Kibwaya

  1. Kibwaya

    FT: CAFCL: Simba SC 1-1 Power Dynamos | Simba yafuzu Hatua ya Makundi

    Huruma kidogo ndugu zetu hawa🥺
  2. Kibwaya

    Kama unazeeka ni wewe. Kwa taarifa yako uzee unazuilika. Cheki hapa!

    Hawa ni watu wawili tofauti ni mtazamo wangu
  3. Kibwaya

    Utofauti na Ufanano wa Yanga na Simba kwa Sasa

    Una roho ngumu
  4. Kibwaya

    Sababu kubwa kwanini watu wengi hawafuti namba za ma-EX wao

    Ma-ex wengine wanazingua kiasi ukiskia jina kama lake unahisi kizunguzungu😔
  5. Kibwaya

    RC Chalamila: Dar es Salaam kufuta shule zote za sekondari za kutwa ili kudhibiti nidhamu ya wanafunzi

    Sipingi ila naona wazazi tutatwishwa zigo la michango haswa chakula ada za umeme nk kiufupi Bado Kuna safari juu ya suala hili
  6. Kibwaya

    Bunge la Ghana lahimiza kupitishwa kwa muswada wa kupinga ushoga

    Wamepunguza hasira ya muumba kila la kheli wabunge waliojielewa
  7. Kibwaya

    Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    Endelea kugomea kazi zake na Wala uskaribie eneo la kazi mpaka hatma ya shauri litakapo pata muafaka kwenye vyombo vya sheria
  8. Kibwaya

    Salamu toka Kwa Shabiki wa Simba, Simba ijifunze kwa Yanga

    😎😎😎tukipata 5kamawewe 🇹🇿 tunacheza fainali 🌏🌎🌍⚽🏆 soon
  9. Kibwaya

    Japan: Waziri Mkuu amfuta kazi mwanawe kuwa msaidizi wake

    Moto wake ambaye ni katibu wake kwa utovu wa nidhamu angefumba macho tu maana moto umleavyo ndiyo akuavyo
  10. Kibwaya

    Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

    Tatizo meaneo mengi hayajapangiliwa hivyo kuwa vigumu kupitisha miundo mbinu kama vile Barabara maji umeme ambavyo ni muhimu viwepo ndipo thamani ipande
Back
Top Bottom