Kulikuwa na haja gani Putin kuwaua wale marubani na muhudumu wa Ndege badala ya Prigozhin pekee yake?

Mzuka wanajamvi!

Mwanadada mrembo Kristina Raspopova alikuwa muhudumu kwenye ndege iliyopata ajali na kumuua boss wa Wagner Yevgeny Prigozhin aliwasiliana na familia yake kabla ya safari kwa kushangaa kwanini safari iliahirishwa eti ndege inafanyiwa matengenezo. Kumbe wanachomeka mabomu.

Sasa kama Putin alitaka kuwaua Boss wa Wagner Prigozhin na wenzake kwanini sasa akawatoa kafara marubani wawili na huyu flight attendant mrembo ambao hawana hatia?

Ni roho mbaya tu hili liputin limemwaga damu Ukraine. Angewaua tu wahuni wenzake kina Prigozhin huko.

Lenyewe limebaki kujificha kwenye mahandaki likila na kulala. Lioga kama nini limeogopa hata kwenda kwenye mkutano wa Brics.

Putin na genge lake wanadhani wataishi milele?
Una uhakika gani? Putin kahusika au fikra hizo zimekuja kutokana na msongo wa mawazo unaopitia baada kupigwa na maisha sasa umebaki na smartphone kwa ajili ya kuangalia ngono
FB_IMG_1692733221193.jpg
 
Viongozi wa Afrika uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana.
Wao wanafikiri Russia na China watakuwa msaada sana kwao kumbe wanawekwa kwenye mtego ili rasilimali zote ziende China na Russia.
Baada wajitoe kwenye mfungamano, watengeneze umoja wao Afrika ila wanaenda kwa mkoloni mwingine.
Putin anamuonea wivu sana Marekani, mfaransa na Uingereza kwa kuchukua mali nyingi sana kwahiyo miaka inayokuja baadhi ya nchi zitakuwa ni koloni la mrusi na mchina.
Nchi za Afrika hawajifunzi kwa Ukraine. Kwanini Urusi anaipiga Ukraine? Ukishapata jibu basi ujue Urusi hana nia njema na bara la Afrika.
Amuka
IMG_20230809_141442.jpg
 
Huwa mnakera sn watu mnaojua ukweli halafu mnaongea vitu kiushabiki hao wa libya walikuwa wana ndege za kivita au hujui kabla hajauawa gaddaf msafara wake ulishambuliwa na fighter jets za nato+usa ndio akatoka kwenye gari kwanda kujificha yaani hii jf internation siku hz wamejaa watu wazima wenye akili za kitoto ndio maana humu siku hz wenye akili zao akina infrant soldier na wa kongwe wengi washaachana na jf au wanasoma tu hawaanzishi uzi washaona upuuzi tu humu mtu anabisha kitu chenye ukweli na anajua ukweli .
Fighter jets za Gaddafi zilikuwa wapi??
 
Mzuka wanajamvi!

Mwanadada mrembo Kristina Raspopova alikuwa muhudumu kwenye ndege iliyopata ajali na kumuua boss wa Wagner Yevgeny Prigozhin aliwasiliana na familia yake kabla ya safari kwa kushangaa kwanini safari iliahirishwa eti ndege inafanyiwa matengenezo. Kumbe wanachomeka mabomu.

Sasa kama Putin alitaka kuwaua Boss wa Wagner Prigozhin na wenzake kwanini sasa akawatoa kafara marubani wawili na huyu flight attendant mrembo ambao hawana hatia?

Ni roho mbaya tu hili liputin limemwaga damu Ukraine. Angewaua tu wahuni wenzake kina Prigozhin huko.

Lenyewe limebaki kujificha kwenye mahandaki likila na kulala. Lioga kama nini limeogopa hata kwenda kwenye mkutano wa Brics.

Putin na genge lake wanadhani wataishi milele?
Mkuu Putin kawaulisha wanajeshi wake Ukraine kama mende na hakujali akaendelea kuwasajili vijana wenye umri wa kati wakauliwa na hakutosheka mpaka wafungwa kawapeleka na bado Russia ni msako msako ukizubaa vitani, yeye hajali, wale wanajeshi wa Wagner zaidi ya 22,000 wameenda na maji mpaka boss wao Prigozhin akasema bora waache Bakhmut wataendelea kumalizwa walikuwa wanajeshi zaidi ya 50000 wakatimua zao
 
Wanatoka kwa US, UK, EU, wanaenda kwa China na Urusi.
Nchi za Afrika zinatakiwa zisiwe na urafiki na nchi yoyote ile zaidi za nchi za Afrika.
Wafrika wanatakiwa watumie rasilimali zao, wajinufaishe wenyewe.
Niger, Kikosi cha Wagner kinachukua dhahabu na mali zingine wanapelekwa Urusi.
Nchi zozote iwe Urusi, China, Marekani, ufaransa na zingine ni kukata mawasiliano nao.
Ukishajua kwanini mrusi anapigana vita na Ukraine, basi hana huruma hata wewe.
Sri lanka baada ya kushindwa kulipa mkopo wa China, ikachukua bandari miaka 100.
 
Viongozi wa Afrika uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana.
Wao wanafikiri Russia na China watakuwa msaada sana kwao kumbe wanawekwa kwenye mtego ili rasilimali zote ziende China na Russia.
Baada wajitoe kwenye mfungamano, watengeneze umoja wao Afrika ila wanaenda kwa mkoloni mwingine.
Putin anamuonea wivu sana Marekani, mfaransa na Uingereza kwa kuchukua mali nyingi sana kwahiyo miaka inayokuja baadhi ya nchi zitakuwa ni koloni la mrusi na mchina.
Nchi za Afrika hawajifunzi kwa Ukraine. Kwanini Urusi anaipiga Ukraine? Ukishapata jibu basi ujue Urusi hana nia njema na bara la Afrika.
Na huo ndiyo ukweli pamoja Mimi ni mfuasi wa Putin
 
Mzuka wanajamvi!

Mwanadada mrembo Kristina Raspopova alikuwa muhudumu kwenye ndege iliyopata ajali na kumuua boss wa Wagner Yevgeny Prigozhin aliwasiliana na familia yake kabla ya safari kwa kushangaa kwanini safari iliahirishwa eti ndege inafanyiwa matengenezo. Kumbe wanachomeka mabomu.

Sasa kama Putin alitaka kuwaua Boss wa Wagner Prigozhin na wenzake kwanini sasa akawatoa kafara marubani wawili na huyu flight attendant mrembo ambao hawana hatia?

Ni roho mbaya tu hili liputin limemwaga damu Ukraine. Angewaua tu wahuni wenzake kina Prigozhin huko.

Lenyewe limebaki kujificha kwenye mahandaki likila na kulala. Lioga kama nini limeogopa hata kwenda kwenye mkutano wa Brics.

Putin na genge lake wanadhani wataishi milele?
Jamaa lipumbavu sana lioga kama kuku,halafu linatanguliza wenzao wakafe Ukraine,kama linauchugu lishike bunduki likapigane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom