Wewe ungekuwa na mawazo yasiyo na hasara usingekaa na kufikiria kwamba anaefanikiwa kimaisha kama diamond anatumia uchawi. Wee mchawi ndio mana unaweza kutuaminisha kwamba naw anatumia uchawi. Ni sababu ya ya tuzo tu ! Mbona hukutuambia toka anaanza kufanya vizuri yeye ni mchawi. Jiangalie...
Wewe ni mlokole wa ajabu unaeamini uchawi. Badilika kifikra. Mtazamo wako ni hasi unataka kuwalisha Watanzania vitu unavyoamini wewe. Ndumba. Karne ya 21 unaamini ndumba pole sana
Sasa hao wenye vipaji mbona hawafanyi vizuri kimataifa. Kwahiyo na Vanessa nae anatumia ndumba japo hajapata. Acha fikra potofu. Hata jk anatambua kipaji cha jamaa.
Nilichogundua ni kwamba kamwe Watanzania hatutaendelea. Watu wamekuwa wakiamini mambo yasiyoaminika. Hivi kweli mtu Hawezi kuwa na maendeleo hadi iwe uchawi!!! Inashangaza sana. Tumsapoti Diamond iwe anatumia au hatumii uchawi muhimu anailetea nchi yetu sifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.