Ok sawa naona ujaelewa nilichokuwa nina maanisha, ni kwamba pcci ni outsourcing company amabayo inaajiri watu kwa niaba ya makapuni mengine kwa maaana ya hao pcci ni wanatoa ajira customer care agency wa tigo. Niloshatuma maombi sana pale bila mafanikio na juzi nimepeleka pale cv wakasema nitume...
Habari wana jf
Ninaomba msaada wa kupata nafas ya kuitwa interview pale pcci kama kuna mtu anafahamiana naye pale anaijua mianya maana nimeshatuma sana maombi bila mafanikio.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.