we ndo unachelewa kujua. Unaona hapo juu jamaa anashauri kuwa account nyingine kwaajili ya online transactions. Sasa unafikiri kwanini asuggest hivyo kama haya mambo hayapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu habari zenu,
Hivi mtu ukiwa na viakiba vyako vya kuunga unga benki. Kwanza natamani kujua Benki kuna usalama kiasi gani dhidi ya wezi wa kisasa wanaotumia teknolojia?
Pia nijihadhari na nini ninapokuwa nalink akaunti yangu na huduma mbalimbali za kulipia mitandaoni?
Karibuni tupeane...
we ni fala sana yaani hayo mazungumzo umeona ya ajabu sana. Kuna mademu wamepinda mnaweza piga story zote zilizopo duniani inategemeana na mmezoeana vp wala hakuna mambo ya ushoga unayoleta wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Saiv nimenasa kwa shemales yaani nakuwa kama siamini ninachokiona, hv wale walizaliwa wanaume kweli? wengine wanashape amaizing sana basi nabaki nimeduwaa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.