kibovu kichwa
Senior Member
- May 17, 2019
- 145
- 106
Wakuu habari zenu,
Hivi mtu ukiwa na viakiba vyako vya kuunga unga benki. Kwanza natamani kujua Benki kuna usalama kiasi gani dhidi ya wezi wa kisasa wanaotumia teknolojia?
Pia nijihadhari na nini ninapokuwa nalink akaunti yangu na huduma mbalimbali za kulipia mitandaoni?
Karibuni tupeane maarifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mtu ukiwa na viakiba vyako vya kuunga unga benki. Kwanza natamani kujua Benki kuna usalama kiasi gani dhidi ya wezi wa kisasa wanaotumia teknolojia?
Pia nijihadhari na nini ninapokuwa nalink akaunti yangu na huduma mbalimbali za kulipia mitandaoni?
Karibuni tupeane maarifa.
Sent using Jamii Forums mobile app