Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,684
- 11,138
Nenda Ebay uk au gumtree range bei sawa na bure kuleSawa mkuu. Nasubiria ofa za BeFoward mwisho wa mwaka. SBT wana products za ovyo sana
Nenda Ebay uk au gumtree range bei sawa na bure kuleSawa mkuu. Nasubiria ofa za BeFoward mwisho wa mwaka. SBT wana products za ovyo sana
Mwenye abc ya hii gari afunguke kidogo hasa hizi za cc 25000Hii kitu naikubali sana japo 4600cc ila wasiwasi spea
Kanunue nissan extrail na vichenchi huenda vikabaki ila usiwe mbahili wa kuinunulia spare original plus other consumables ambazo ni original pia kama vile radiator coolant. Maana Nissan haitaki matunzo ya kuungaunga la sivyo itakuwa kila siku unaanzisha thread za kuomba ushauri na namba za mafundi nissanDaah. Maana natafuta gari ya juu Kwa bajeti ya 11m (gharama zote)
Mwenye abc ya hii gari afunguke kidogo hasa hizi za cc 25000
Mbona zipo TD5Daah hizo cc labda za ma-bus mkuu.
CC elfu ishirini na tano(25,000) kama ulivyoandika?Mbona zipo TD5
Daaah, haya masimu noma, kweli nmemwaga kazi nduguCC elfu ishirini na tano(25,000) kama ulivyoandika?
Hamna noma mkuu.Daaah, haya masimu noma, kweli nmemwaga kazi ndugu
Kwa Range Rover engine ya 2.5 bado inaendelea kutengenezwa kweli?Mbona zipo TD5
Inategemea RAV 4 ya mwaka gani kama hizi za 2006 kwenda mbele spare bei ni zile zile tu mkuu...
Sisi kama wamiliki wa TECNO tu.... Lazima tucomment
Hii gari inauzwa bei gani?Ninataka kununua Honda stepwagon ninaomaba ushauri kuhusu
1. Uimara wake
2.upatikanaji wa spears
3. Uvumilivu katika barabara zetu za vumbiView attachment 1154350View attachment 1154351