Habarini za humu ndani wanajukwaa,
Ni takribani miezi miwili imepita sijamuona kwenye media wala kumsikia Mkuu wa Mkoa wa Dar esa Salaam nimekuwa nikijiulizaa Mkuu huyuu amekwenda wapi?
Je, anaumwa, ametumbuliwa kimyakimya au ameamua kuchukua yake maana ilikuwa haipiti hata siku sijamsikia...