RC Makonda yupo wapi?

RC Makonda yupo wapi?

Habarini za humu ndani wanajukwaa,

Ni takribani miezi miwili imepita sijamuona kwenye media wala kumsikia Mkuu wa Mkoa wa Dar esa Salaam nimekuwa nikijiulizaa Mkuu huyuu amekwenda wapi?

Je, anaumwa, ametumbuliwa kimyakimya au ameamua kuchukua yake maana ilikuwa haipiti hata siku sijamsikia kwenye media kafanya ivi
au zile milioni tano za wavuta shishi zinawezakuwa zimempitia?
 
Naona kampeni za ujio wa pili za kijana machachari na mchapakazi zinaendelea
 
Habarini za humu ndani wanajukwaa,

Ni takribani miezi miwili imepita sijamuona kwenye media wala kumsikia Mkuu wa Mkoa wa Dar esa Salaam nimekuwa nikijiulizaa Mkuu huyuu amekwenda wapi?

Je, anaumwa, ametumbuliwa kimyakimya au ameamua kuchukua yake maana ilikuwa haipiti hata siku sijamsikia kwenye media kafanya ivi
au zile milioni tano za wavuta shishi zinawezakuwa zimempitia?
wabongo bana
 
Wameenda kwenye matibabu na wife, umri unasonga nae anahitaji kitwa baba.
Mbona hospitali ziko hapa kwetu na madaktari ni wazuri. Nadhani yupo likizo. Arudi tu afanye ziara awamu ya pili maafisa ardhi wanatuangusha
 
Hakika atakua ameenda kujaribu sayansi ya US ya kupandikiza uzazi ili nae apate furaha ya kuitwa Baba....Namuombea Mwenyezi Mungu amjaalie kwa hilo hakika alidhihakiwa sana mitandaoni kuhusu kutopata mtoto na uenda km binadamu hili kwa namna moja au nyingine limeathiri utendaji wa kazi zake hadi wakati mwingine kupitiliza kwa matamko yake ambayo hayakumpendeza Mungu ata Watzanzania wenzake.....
 
Jamani anaejua alipo mkuu wa mkoa wetu pendwa wa DSM
naanza kuingiwa na mashaka kwa ukimya wake huu
alipo yeye yupo Mungu
 
Nnavyojua kuwa yuko marekani na kuna kipindi alipost pic yake anakula bata huko..yuko likizo M*ngu wa darisalama
 
Back
Top Bottom