huwa sipigi mawazo ya mtu kwa kuwa ndivyo alivyo fikiri
ila juu mambo haya
kuunza na mtumiaji ni bora maana atakwambia anatoa wap.
kupinga au kuponda juhudi za mtu si kumfanya awe na juhudi ila kumkatisha tamaa kwa jambo lake analofanya
naamini watu bado hatujui lugha yetu ya taifa ni ipi nawakumbusha kuwa ni KISWAHILI
ukisema JPM hajui kingerexa ww ni muongo
kwa ushahidi ufuatao
alivyo karibisha waandishi wa habari ikulu mwaandishi wa habari wa BBC ALITUMIA LUGHA GANI?
jibu ni kingereza ana alimjibu kwa kiswahili kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.