Hahaha! NimeshangaaAisee kumbe ni hivyo vijarida vya Kisiwa na Sani ndio vinawapa ujasiri wa kuja kubweka huku?
Acha kulinganisha nkorea na vitu vya kijinga kama iraq y sadam. Kiduku harubuniwi kama alivyofanyiwa sadamSadam nae alibweka hivyo na watanzania wajinga vijiweni wakaaminisha wajinga wenzao kuwa Marekani hawezi mpiga sadam
mkumumbuke kutunza kumbukumb za meneno ayaTuna sambaratisha marekani
Ukiwasikia wanavyoshangilia utafikiri ni timu za mpira vile.. Ooh kiduku ooh Trump.. Utoto mtupu!Sadam nae alibweka hivyo na watanzania wajinga vijiweni wakaaminisha wajinga wenzao kuwa Marekani hawezi mpiga sadam
Ni utoto tu mkuu!Aisee kumbe ni hivyo vijarida vya Kisiwa na Sani ndio vinawapa ujasiri wa kuja kubweka huku?