Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Hujaona magari yaliyotolewa matairi.Yote Hapana haki.Mahakama ndiyo ingetoa hukumu na si polisi.Sababu polisi wanashindwa kutumia weledi wa taaluma yao wanajikuta kwenye kesi zinazokuja kuwabadilikia baadaye.Jozi 1 hujanielewa bodaboda nilimaanisha pikipiki si dereva wa hiyo bodaboda. Sasa na uliza tena mbona hamkutetea bodaboda zilipohukumiwa kung'olewa matairi polisi? Hapa hukumu ya bodaboda ni nyingine na ya dereva wake ni nyingine.
Na washawasha!
Imenikuta week jana nashushwa na gari ndogo polisi akaja mbio, bahati nzuri dereva akawa amekimbia na ni eneo ambao si rasmi kwa ajili ya Mwendokasi lakini polisi alitaka kutubambikia kesi.
Shida ya Haki za msingi za RAIA Polisi wana zinaenda kwa ajili ya kufurahisha watawala. Na Watanzania tusipokuwa na umoja tunafurahia sababu tu ya uwezo mdogo alionao Mtanzania mwenzetu.Ni shida sana .