Recent content by kibo na mawenzi

  1. kibo na mawenzi

    JamiiForums Usiku wa manane

    Naunga h.j
  2. kibo na mawenzi

    VICHWA PANZI FORUM

    Nini maana ya kuamberruty?
  3. kibo na mawenzi

    Je,kumfungia ndani mwanamke mchepuko sana,ndo suluhisho?

    Habari wakuu,Leo nimecheka sana afu baadae nikawaza sana kile kilichotokea kwa mwaume mwenzangu, iko hivi mkewe amemgundua anamchepuko na Leo jamaa baada ya kutoka kazini mida ya saa mbili usiku mkewe hajamkuta basi baada ya kurudi jamaa kakasirika kamwacha aingie ndani kisha kamfungia kwa nje...
  4. kibo na mawenzi

    Msaada: Dogo janja anaimbaga nini? Sijawahi kumuelewa

    Ujumbe wa wimbo na kuvua nguo haviendani kabisa!
  5. kibo na mawenzi

    Msaada: Dogo janja anaimbaga nini? Sijawahi kumuelewa

    Kuna wimbo amevua nguo na kuvaa majani,bado sijamuelewa kivileeee....
  6. kibo na mawenzi

    Ilinichukua muda sana kuamini kama baba na mama yangu wanafanya....

    Sijui chochote na sitaki kujua tu! Duh! Ete baba na mama!
  7. kibo na mawenzi

    TPL: Simba SC vs Alliance FC - October, 24.

    Okwi na Ahsante! Wameshatangulia!
  8. kibo na mawenzi

    Nataka kuoa barmed je,nitadumu nae?

    Nataka kuoa barmed je,nitadumu nae? - JamiiForums Nataka kuoa barmed je,nitadumu nae?
  9. kibo na mawenzi

    Nataka kuoa barmaid. Je, nitadumu nae?

    Nimetokea kumpenda Dada mmoja hivi ila ni muhudumu wa bar,sina uzoefu sana na watu hawa ila tangu nianze nae uhusiano ni mwaka sasa kila aikitoka kuuza huwa anakuja home kulala muda ule wakufunga bar ila tatizo ni moja tu yeye Anajiamini sana ila Mimi kidogo kaimani hakapo kulingana na mazingira...
  10. kibo na mawenzi

    Njia rahisi ya kumuacha mpenzi wako

    Mtoa maada nakuunga mkono nitasimamia kwenye mapungufu yake, hakuna kugandana apa kwani tumezaliwa pamoja!
  11. kibo na mawenzi

    Ndoa yangu ipo ICU !dah

    Mda utaongea,naomba wanaume wenzangu tusiwe wavivu wa kufanya maamuzi magumu,uvumilivu wa mwanaume ndio humpa kiburi mwanamke, hawa viumbe ukiona umeanza kuwapenda sana kuhisi huwezi kuishi bila wao bac ujue wameshaanza kuchepuka, kwa sababu umeturuhusu tutoe ushauri Mimi naomba ufanye maamuzi...
  12. kibo na mawenzi

    Nini faida ya kuoa kwa sisi wanaume?

    Natamani kuoa ili nichepuke!
Back
Top Bottom