Lowassa tambua na elewa kuwa kila kitu hupangwa na Mungu, najuwa ilikuwa ndoto yako ya muda mrefu wewe kuwa rais. Lakini HAUKUJISHUSHA NA KUMSIKILIZA MUNGU umeonyesha kupigana na wakati. na hii ndiyo inayo kufanya uonekane si wa kawaida.Madaraka hayatafutwi kwa uwezo wa fedha. Mwache Mungu...
Ni kweli kama usemavyo.Unajua watu wengine huongea mambo makubwa bila tahadhali au kufikiri.Habari za Ukaskazini hazihusiani na Haki ya kuwa mgombea urais. Tanzania ni moja. Naombo tujaribu kufikiri kabla ya kuchangia hoja mbalimbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.