Recent content by KIBINGILA

  1. K

    Maandamano ya UKUTA yasipofanyika...

    swala sio kuwatisha bali kuwaonya, ni uwezo pia wa kuongoza watu
  2. K

    Martin Luther king Day:

    watu walio jaliwa maono
  3. K

    Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

    Hata mimi
  4. K

    UCHUNGU: Lowassa hawezi kuwa Rais tena popote duniani

    Lowassa tambua na elewa kuwa kila kitu hupangwa na Mungu, najuwa ilikuwa ndoto yako ya muda mrefu wewe kuwa rais. Lakini HAUKUJISHUSHA NA KUMSIKILIZA MUNGU umeonyesha kupigana na wakati. na hii ndiyo inayo kufanya uonekane si wa kawaida.Madaraka hayatafutwi kwa uwezo wa fedha. Mwache Mungu...
  5. K

    Hatutamchagua mtu kwa sababu ya kabila lake na hatutamkataa mtu kwa sababu ya kabila lake

    Ni kweli kama usemavyo.Unajua watu wengine huongea mambo makubwa bila tahadhali au kufikiri.Habari za Ukaskazini hazihusiani na Haki ya kuwa mgombea urais. Tanzania ni moja. Naombo tujaribu kufikiri kabla ya kuchangia hoja mbalimbali.
  6. K

    Kwanini Edward Lowassa hafai kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Boss mbona unachemka kwa uvivu wa kifikiri? Au ndo unaamka?
  7. K

    CHADEMA Karatu wamzawadia Rais Kikwete kiwanja kwa Utendaji bora

    wAMEONYESHA UPEO WAO NA UKOMAVU WA KISIASA Hongera kwao
  8. K

    Hali ilivyo Dodoma Wakati huu.

    Kwa kweli wanatia Huruma kama vile wapo ICU
  9. K

    Wafahamu walinzi wa Papa huko Vatican

    wakali wa imani
  10. K

    Unafahamu nguvu ya Wazo?

    Hii nzuri nimeikubali.
  11. K

    Unafahamu nguvu ya Wazo?

    Umeeleweka vema na mimi mwenyewe. asante kwa kuongezea upeo wa uelewa
  12. K

    Kikwete: Zama za kuamini kuwa CCM ikipitisha mgombea huyo ndio anakuwa Rais zimepitwa na wakati

    Ndani ya ukawa kuna wanao kwenda bila kujuwa wanako kwenda.
Back
Top Bottom