Recent content by kibanja

  1. K

    Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

    Nyinyiemu wataomba poniponi dis tym. Nnaona raha mie jinsi upepo wa mabadiliko ulivyopokelewa na watz. Pipooooooozzz hakiiiiiiiiiiiiiii
  2. K

    DC wa Kinondoni(Makonda) yupo anamsimanga Lowassa

    Makonda si ndo yule dogo mwenye ulimi mrefu kushinda mdomo? Nitamuuliza Bupe anifafanulie. Mfa maji yule
  3. K

    Mwanamke wa dizaini hii anafaa kuolewa?

    Kwani alitakiwa aanze baada ya muda gani kuomba? Kwa mtizamo wako!
  4. K

    Waziri Tizeba aamua kuondoka hotelini baada ya bili ya 100milioni

    Dawa iko jikoni tena moto wa magogo. Mtainywa october 25. Watanzania wenzangu amkeni
  5. K

    Nahisi maumivu

    Mh! Jipende kwanza kisha nafsi yako itakuelekeza kifuatacho. Au umefilisika
  6. K

    Sema,"Ahsante Mungu"

    Kasiinge Rugaba
  7. K

    Judge akipambana na changamoto za kutwa nzima.

    Ka barrrrrrrrriiiiiiiiiiddddddiiiiiiiiiii
  8. K

    Hivi kwanini inakuwaga hivi?

    Haijalishi ukitoka hapo unaelekea wapi kikubwa na cha msingi ni uko wapi. Ni nyumba ya ibada na kwa imani tunaamini mahali patakatifu. Tosha. Kumbuka kuna mkao wa baa na mkao wa g/house. Tofautisha na mkao wa kanisani
  9. K

    Nahitaji mchumba mwenye kuvutia asiwe mwalimu

    Wewe ni naniii. Masharti magumu kama nini. Huna lolote utamtesa dada wa watu. Oa nesi shifti za usiku ukome roho mbaya yako. Hutaki kuombwa hela kwani mwanaume anaombwaga mbupu?
  10. K

    Nahitaji msaada kwa yeyote mwenye wazo au ushauri

    Natamani kukusaidia. Kwa mitishamba. PM
  11. K

    Zitto: Ulidanganya Geita wanakuhitaji, leo umekiona cha moto

    Bupeeee Zito ndo nani vileeeee
  12. K

    Jiko dogo la gesi linauzwa

    Jiko la "gase" ni lipi Bupeeee?
Back
Top Bottom