Haijalishi ukitoka hapo unaelekea wapi kikubwa na cha msingi ni uko wapi. Ni nyumba ya ibada na kwa imani tunaamini mahali patakatifu. Tosha. Kumbuka kuna mkao wa baa na mkao wa g/house. Tofautisha na mkao wa kanisani
Wewe ni naniii. Masharti magumu kama nini. Huna lolote utamtesa dada wa watu. Oa nesi shifti za usiku ukome roho mbaya yako. Hutaki kuombwa hela kwani mwanaume anaombwaga mbupu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.