Nahitaji mchumba mwenye kuvutia asiwe mwalimu

Nahitaji mchumba mwenye kuvutia asiwe mwalimu

Boss Brother

Member
Joined
May 26, 2015
Posts
12
Reaction score
5
Nahitaji mchumba wa kike mwenye kuvutia kitabia na mwenye upendo kwa mume asiwe mwalimu mwenye kudhani anavutia. Ila mimi napenda mtu asiye tapeli nahitaji aliye tayari anijulishe na ni marufuku kuniomba hela, mimi sina bajeti ya kuhonga nisiye mfahamu. Anitafute inbox tuelewane
 
Usijaribu kumkera asiye kuhusu pita mbali na mimi kama post haikuhusu.
 
Kuna mtu hapa kala maharage ya Mgeta.
 
Wewe ni naniii. Masharti magumu kama nini. Huna lolote utamtesa dada wa watu. Oa nesi shifti za usiku ukome roho mbaya yako. Hutaki kuombwa hela kwani mwanaume anaombwaga mbupu?
 
Nahitaji mchumba wa kike mwenye kuvutia kitabia na mwenye upendo kwa mume asiwe mwalimu mwenye kudhani anavutia. Ila mimi napenda mtu asiye tapeli nahitaji aliye tayari anijulishe na ni marufuku kuniomba hela, mimi sina bajeti ya kuhonga nisiye mfahamu. Anitafute inbox tuelewane

Hihihihi ! Haya bhana kwahiyo hupendi waalimu 😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom