Hamaad Rashid tutakukosa sana mbungeni hasa kwa busara zako.CUF ndio iliyokupeleka Mbungeni na sio mahakama kaombe Radhi urudi mbungeni namini Maalimu Sefu wewe humwezi hata kidodgo ,kwa vile yeye ni maalimu atakusamehe
Yuko anatafuta hela kwa kakobe,misukule na viongozi wengine wa dini....kwa kweli alikuwa mwanasiasa shupavu .makini, na anayeona mbali, lakini kaoteza mwelekeo
Kwa kweli dini hizi zinazoingia sasa hivi sichunguzwe maana inaonekana wengi wamegeuza ndio kichaka au sehemu ya kuficha mambo maovu mengi na kuwaibia wajane ,yatima kwa jina utoe ili ubarikiwe tofauti na madhebu makubwa kama catholic.anglikana,lutherana.morovian.na mengine ya siku nyingi
Pole sanaa shujaa na mtetea wanyonge,mimi ni padri nilifanya ibaada upone mapema,na Mungu akuepushe na hatari zote .Mungu atakujaria wewe na wenzako wote walioenda kutibiwa huko india amini.
Habari za kuaminika ni kwamba ,baada ya kufukuzwa na karume Okello alienda kenya kupitia mombasa na alikimbiliaäkongo baada ya kunusurika kuawawa mara nyingi na makachelo wa karume,mwaka I971 alionekana akiwa na idd amini .idd amini alipo jitangaza fidel marshall hakupenda wawepo mafidel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.