Kibanikolo
Member
- Aug 12, 2011
- 28
- 0
Jamani naumia sanaa kusukia mtikila a namusifia sanaa sumaye hivi jamani ana usafi gani naomba mnijuze mwenzenu
Sumayae anausafi gani hadi mtikila amusifiye sanaa ?????????????
Jinsi ulivyoandika, msomaji ana haki kupuuzia thread yako. Malizia kwanza elimu yako ya primary ndio uje JFJamani naumia sanaa kusukia mtikila a namusifia sanaa sumaye hivi jamani ana usafi gani naomba mnijuze mwenzenu
Jinsi ulivyoandika, msomaji ana haki kupuuzia thread yako. Malizia kwanza elimu yako ya primary ndio uje JF
Sumaye hajawahi nunuliwa suti na muwekezaji!
ndugu mbona husomeki ya mgaya yametoka wapi?, wote waliochangi umesoma hawa ndio wanafalsafa hata kama unauhusiano naye jibu hoja na sio unaubinafsiJinsi ulivyoandika, msomaji ana haki kupuuzia thread yako. Malizia kwanza elimu yako ya primary ndio uje JF