Baada ya tendo la ndoa

It's called Post Coital Tristesse (PCT). It is a common 'condition', inatokea kwa wanaume zaidi ila hata wanawake huwatokea. Kuna maelezo mbali mbali kuhusina na hilo, moja ikiwa: you are tense and focussed before sex, you think too much about it and all you want is to have sex for your pleasure. Sasa ukisha pata ulicho taka ndio unakumbuka mambo mengine yote kama mapenzi yako kwa muhusika (or lack thereof), kazi zako ulizo ziacha pending, efforts ulizo invest katika kuhakikisha unapata sex etc. That is what makes you sad. Na ukitoka 'eneo latukio' na kuanza kujishughulisha tena, unahisi sadness (tristesse) inaisha pole pole.
A solution would be to think about the aftermath of the sexual intercause before it happens. Just plan to go out with her, au panga maongezi before you have sex. Pia don't stop doing anything important just because you don't want to miss the oppportunity of having sex.
Unaweza kupitia hapa kwa maongezi kuhusi hiyo 'condition' (which is not so much of a condition nadhani):
Sadness After Sex is a Real Condition

Wengi hatukua tunajua hili.Asante RR.
Nina hakika wangejua basi matendo mengi ya ngono-zembe yangepungua kama siyo kuisha lol!Mtu anakurupuka huko anabaka hajali hata madhara kitendo kizembe vile.MHH!
 
ndugu zangu na marafiki leo nimeona bora nizungumzie juu ya mambo ambayo nakutana nayo niwapo na mwenzi wangu. Mwenzenu ninapokuwa na mpenzi kama kama kawaida yetu sisi wanaume kuomba penzi lakini nimalizapo ku do naye huwa najisikia aibu nakosa neno la kuongea naye wakati mwingine huwa najilaumu hivi kwa nini nafanya haya je wenzangu mnajisikiaje mmalizapo ku do?

ukizini mara nyingi hiyo hali ndo hutokea hasa kujilaumu,lakini kama ni mkeo wa halali hamna kitu kama hicho.USHAURI acha kuzini.
 
mbio za sakafuni huishia ukingoni, na ukisha piga bao ndiyo ukingo wenyewe..
 
mbio za sakafuni huishia ukingoni, na ukisha piga bao ndiyo mwisho wa mbio zenyewe..
 
ndugu zangu na marafiki leo nimeona bora nizungumzie juu ya mambo ambayo nakutana nayo niwapo na mwenzi wangu. Mwenzenu ninapokuwa na mpenzi kama kama kawaida yetu sisi wanaume kuomba penzi lakini nimalizapo ku do naye huwa najisikia aibu nakosa neno la kuongea naye wakati mwingine huwa najilaumu hivi kwa nini nafanya haya je wenzangu mnajisikiaje mmalizapo ku do?

We utakuwa mgonjwa!
 
Your explanation cuts across all fields-, it is scientific, psychological and social. Energy spent-scientific, the act itself-psychological, social- expenses incurred in terms of time, monies etc.

Kuwa under-age siyo factor mojawapo kweli?
 
Pamoja na maelezo mazuri ya RR, hofu ya Mungu iliyo ndani yako ndo inakusumbua. Waulize waliooa uone kama wanapata shida kama yako, manake ni halal! Mungu akusaidie uachane na uzinzi kabla hujakutana na hukumu.
 
Kuna demu alinibore, baada ya kumaliza ki.to.mbo si akaanza kunifuta na boxer yangu bana!!!
 
duhhhhh
tuanajifunza mengi..

Wanaume endeleeni kusema huwa mnafikiri nini tu
baada ya sex?? Ningependa kufahamu zaidi.
 
Hii imenikumbushia ile movie ya "More Money" mmojawapo wa wale Wayans brothers alipoamka asubuhi na kuanza kupiga kelele "It wasnt me" baada ya kumtizama vyema bidada aliyejivinjari naye usiku kucha baada ya kuponda raha na mipombe.

Mazingira hayo mara pengi ni ya kwenye pombe.This is the other reason unaweza ku regret, ni wazi uzuri wa mwanadada machoni pa mwanaume unakuwa waay magnified baada ya kilaji kukolea.
 
Hii imenikumbushia ile movie ya "More Money" mmojawapo wa wale Wayans brothers alipoamka asubuhi na kuanza kupiga kelele "It wasnt me" baada ya kumtizama vyema bidada aliyejivinjari naye usiku kucha baada ya kuponda raha na mipombe.

Mazingira hayo mara pengi ni ya kwenye pombe.This is the other reason unaweza ku regret, ni wazi uzuri wa mwanadada machoni pa mwanaume unakuwa waay magnified baada ya kilaji kukolea.
There is a joke about this guy who looks at a not-so-attractive-girl and he goes like: you are my breathalyser tonight. If you become beautiful, then I know I am drunk (mean but funny!)
 
Kama ukifanya kinyume na maumbile yaani tigo, hapo lazima ujilaumu kwani ugusa kinyesi na hasa kikinuka! Lo! Mbaya sana hii aise.
 
Pengine nikuulize una miaka mingapi? Inawezekana bado mtoto sana kwa upande wangu huwa najisikia raha kupita kiasi tena nataka tena na tena. Kama unajisikia aibu kwanini unaomba siku ingine basi usifanye.
 
mimi huwa naunganisha bao mbili kwa moja na nikimaliza macho makavu yeye ndo anajificha,chezeyaaa mimi

Mkuu,Kumbe siko peke yangu,na nikishamalizaga yeye huwaga hoooooi,hawezi hata kuinua mkomo,so analala for a while,kipindi kile wataalam wa haya masuala wanasema unapswa kuendelea kumbambia na kumpiga denda...sio kukurupuka na kuvaa boxer yako ukimuacha ana jinyonga nyonga kitandani....
 
There is a joke about this guy who looks at a not-so-attractive-girl and he goes like: you are my breathalyser tonight. If you become beautiful, then I know I am drunk (mean but funny!)
Ha ha ha!BTW unadhani kwanini watu na heshma zao wanapiga mabaamedi?Pombe mwanaharamu!

Hapo ndo ule usemi wa "Beauty is in the eyes of the beer holder" ulipopata mashiko.lol

Kwa upande mwingine, kama huyu ndugu ali "piga" bidada aliyemtamani wakati akiwa "sober" kabisa, halafu akawa disapointed mara baada ya "game", then there might be something else that turned him off.

Lakini kwasababu ya mzuka wa mapenzi hakujuwa hadi alipo cum.LOL!

Ndo maana unaambiwa "a man has two brains and just enough blood to supply one at a time"

Hii ina maana huwezi kufikiri vyema mzee akiwika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom