Wewe ndiye uliyeleta bandiko kuwa kuna rafiki yako anahitaji mtu, kumbe ni wewe. Ukawa na kiingereza kingiiiiii. You know za kutosha sana. Vumilia tu dada, that was your choise, stick to it.
Ulaya mbona mbali Sana, Ishi Arusha miezi sita halafu nenda Dar, unaona mji mzima una fukuto la uchafu na vumbi.
Hewa ni nzito sana. Asubuhi ya saa 12 ukiwa unaenda posta maeneo ya magomeni, kuelekea jangwani, kwa juu kuna kitu kama moshi mzito unaofanya hewa iwe nzito sana
Sent from my STK-L21...
Kuna jamaa lilikuwa business partner likaja kuniambia eti kwenye tuweke mambo Sawa kwenye kampuni hata akifa mke wake asipate shida.
Nikamuuliza kama amewahi kuugua ukichaa. Jamaa lipumbavu kabisa
Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.