Recent content by kibamia original

  1. K

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    [emoji101][emoji101]
  2. K

    Nimetelekezwa na ujauzito, natafuta kazi

    Wewe ndiye uliyeleta bandiko kuwa kuna rafiki yako anahitaji mtu, kumbe ni wewe. Ukawa na kiingereza kingiiiiii. You know za kutosha sana. Vumilia tu dada, that was your choise, stick to it.
  3. K

    Wamiliki wa lodge kuweni serious

    Kibadamo na Sharon enzi zake, 2006 ilikuwa huwezi kwenda, ni sisi wababe tu, ila Sasa yamebaki magofu tu
  4. K

    Wamiliki wa lodge kuweni serious

    Kagame, Sharon, Kibadamo
  5. K

    Lift ya Jengo la Millenium Towers yaanguka ikiwa na watu, kuzidisha idadi ya Watu kwatajwa kuwa chanzo

    Kabla ya kuwekwa hizo, ilikuwepo lift moja inazungua balaa, inaweza ikafika sehemu husika mkakaa humo hata dakika 2 ndio inafunguka
  6. K

    Kwa ushindi huu wa Simba, Raja hawawezi kupanga kikosi cha pili, hivyo Simba mjipange

    Hela za mother ziko wapi tugawane, naona hazina imekombwa yote
  7. K

    Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

    Huu ndio uchochoro ambao USA na NATO watapitia. Ni suala la muda tu
  8. K

    KDF washindwa kukabiliana na majangili huko Turkana, wakazi walalamika

    Police nchini Kenya wana uniform mbaya sana sijapata ona.
  9. K

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Acha ushamba, toa hiyo picha. Mbona unakuwa kama umeanza mapenzi juzi. Sio sifa bali unamzalilisha huyo mwanamke
  10. K

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ukisoma hizo charts between the lines, zina walakini sana. Tune ni moja pande zote
  11. K

    Niliporudi kutoka Uswisi baada ya kukaa kule wiki mbili niliona Dar ni chafu sana

    Ulaya mbona mbali Sana, Ishi Arusha miezi sita halafu nenda Dar, unaona mji mzima una fukuto la uchafu na vumbi. Hewa ni nzito sana. Asubuhi ya saa 12 ukiwa unaenda posta maeneo ya magomeni, kuelekea jangwani, kwa juu kuna kitu kama moshi mzito unaofanya hewa iwe nzito sana Sent from my STK-L21...
  12. K

    Najuta kuwekeza kwenye kiwanja na nyumba ya mwanamke

    Kuna jamaa lilikuwa business partner likaja kuniambia eti kwenye tuweke mambo Sawa kwenye kampuni hata akifa mke wake asipate shida. Nikamuuliza kama amewahi kuugua ukichaa. Jamaa lipumbavu kabisa Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom