Habarini wanajamvi
Niko kwenye ndoa ni mwaka wa nane sasa, mume wangu ni mature person wa miaka 35, ila kuna tabia moja anayonikera nayo mno ya kutumia muda wote baada ya kazi kwenye mitandao ya kijamii ifuatayo whatsup, facebook, youtube na JF anajisahau humo
Sio asubuhi sio usiku wa manane...
kaka nimewahi kuwa kwenye viatu vyako ni mwaka sasa ila bado maumivu ni makali sana nilibaki kwenye ndoa kwa ajili ya watoto ila hata ikifika wakati wa kulala nataman kubaki sebuleni,i really hate my spouse so much, alikiri ila sikuwahi kumtia machoni aliyecheat nae alitoweka, ila kukaa mbali na...
Mapacha hawa wana juhudi sana na mtazamo chanya na kifupi ni wadada wanaoelewa wanataka nini kwenye maisha yao tofauti na vijana wengi wa kitanzania, wako very smart hata kwa kufuatilia matokeo yao na wanajiongeza sana, kwa mfano miaka ya A- level pale Arusha sec kulikuwa hakuna mwalimu wa...
0000
Mabasi haya hayana route za msm bali sirari-mwz. ila tabia za mmiliki wake ni mbaya kuliko zinavyoelezeka muuaji, jambazi, mmbabe. moja ya gari zake zimeandikwa ccm no. one, ho-----
ka ndo mambo wanayofundishwa waumini wa hii dini mbona tabu tupu ka ushirikina vile na watoto wa kiislam kweli wataendelea katika elimu ya kawaida baada ya kujaziwa huu upuuzi kwenye akili. you have long way to go
nadhani una matatizo ya akili au stress za hali ya juu ka huna itakuwa umeishia darasa la pili na hapo ulipo ni secretary wa ofisi fulani umeingia huku ka bahati mbaya jaribu kufikiria ndo utume post unazidi kuudhaliisha huo uislam kwamba uelewa hata wa waumin wake ni mdogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.