Anayeongoza Kwa magoli Kwa Bara Zima la Ulaya ni MO SALAH mwenye magoli 41 mpaka Sasa Kwa mashindano yote Ronaldo wako ndio kwanza Ana 32 fuatilia records vizuri ndio uje hapa
Hahaha eti more skillful Sasa nakuweke orodha ya most skillfull central defenders na ndio pia mabeki wenye roho ngumu... Fernando couto, Marius tresor, Jose andrada, Antonio Cabrini, Jaap Stam, Gaetano scirea, Jose Antonio Camacho, Berti Vogt, Ronald Koeman, Laurent Blanc, Obdilio Varela...
Hahaha Bonus anawezaje kusimama mbele ya Mathias summer, anawezaje kusimama mbele ya Stephen efernberg, anawezaje kusimama mbele ya frank boer, unapitaje kwa Hector Sanchez..... Uliwaona watu Hawa wakicheza lakini?
Mwana utakuwa umezaliwa juzi kwa sisi tuliouona mpira wa kweli Sasa hivi hakuna kitu hata kimoja kinavutia au ushindani kwenye soka... Mpira umekuwa mchezo rahisi ambao hauna mabeki wakatili, hauna viungo wakabaji wakatili, washambuliaji wenye uchu, na mawinga machachari.... Kizazi cha watu hao...
Aisee kama haujasoma rudi shule kwa kweli khaa so unamaanisha sisi tunajenga reli sabu ya kagame? Hahaha unajua faida za reli kwa nchi? Hivi gharama za usafirishaji wa mizigo Kwa njia ya reli ni sawa na njia ya bara bara? Hahaha nacheka kwa dharau...afu sijaona hoja why iwe ndio chanzo cha...
Kaka kama kuna mkenya anaitwa iphiwe, ncumisa, Tabang nitakuelewa in short hao wote uliowaweka ni wa South Africa wanatoka kwenye kabila la watu wenye shepu zao wa Xhosa sasa sometimes usitufanye wajinga sawa eeeh.... Boya mmoja na hayo ni majina yao
Duuh kweli haujui soka dogo maana kama uwezo wa kupiga chenga kulikuwa na mabingwa wa kazi hiyo unakumbuka Jose Sapinto? Huyu alikuwa anamfanya beki mahiri Roberto Carlos asipande mbele na alikuwa anampita takavyo, kuna mtu alikuwa anaitwa Denilson unamkumbuka..... Mesi anapiga chenga wachezaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.