pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,660
- 13,719
Huyu ni laghai, msaliti na mtu asiyeaminika, wana HAI msimwamini huyu mtu kabisa kwani kesho atawageuka tena.
Sheria za uchaguzi zingewachukulia wahujumu uchumi kama hawa. Wachezea kodi zetu.Haya, sisi hatuna neno, ngoja hela zetu zitumike tu, akishachaguliwa tena, ajivue kujiunga ACT, ili zoezi lianze upya tena
Kweli ingekuwa kwamba ukishachaguliwa ukajivua, huruhusiwi tena kufanya siasa maisha yako yoye hii ingewanyosha watu.Sheria za uchaguzi zingewachukulia wahujumu uchumi kama hawa. Wachezea kodi zetu.
Hapa mimi naona kijani na njano ndio zimetawala na huenda zimesombwa toka kila kona, wapiga kura wako wapi hapo?
Yaani sasa hivi nalipa zile kodi za lazima tu maana huu ni uharibifu wa kodi zetu
Hapa mimi naona kijani na njano ndio zimetawala na huenda zimesombwa toka kila kona, wapiga kura wako wapi hapo?
Kweli ingekuwa kwamba ukishachaguliwa ukajivua, huruhusiwi tena kufanya siasa maisha yako yoye hii ingewanyosha watu.
MWIGULU KAZI UNAFANYA SAA NGAPI, maana wewe ndio umekua mpiga kampeni sasa wakati wizara yako mi moja ya wizara nyeti tena yenye matatizo lukuki yanayohitaji ukaribu wa waziri husika..
Mkuu we mchokozi sana...lolKama Chadema walivyomfanyia Nyalandu
Kujiuzulu agombee kupitia Chadema kwa kuwa alishaweka Mazingira Sawa Mara ghafla Chadema wanajitoa ili asigombee baada ya Matokeo ya Singida kutoka wanaendelea na Kampeni Uchaguzi wa Kinondoni
Unaongelea ukombozi upi nchi huru hii Tangu 1961. Kasome historiaHii nchi itachelewa sana kupata ukombozi angalia hao malofa wamejazana uwanjani kwa ajili ya t-shirts,kapelo na wali
Acha wajazane tu ,Kama upinzani wenyewe ni wa kifala kiasi hiki hakuna namnaHii nchi itachelewa sana kupata ukombozi angalia hao malofa wamejazana uwanjani kwa ajili ya t-shirts,kapelo na wali
Kama wale malofa wa ufipa
Kazi yao kuuza madawa