Namba moja: kugawa bodaboda kwa vijana
namba mbili: kukandamiza demokrasia nchini
namba tatu: kuhakikisha kwamba matajiri wanaishi kama mashetwani
namba nne kutumbua majipu
namba tano: kusitisha nyongeza ya mishahara kwa watumishi wa umma
Watu wengine bana ina maana swali halijaeleweka au? Kila kitu mnaleta ubishi wa kisiasa tu. Nyie mijisisiem vipi. Chezeni na hoja sio kuleta ubishi wa kijinga hapa. Suala hapa sio kusimanga pikipiki za mchina ila kipaumbele kipi muhimu? Maji vijijini au bodaboda kwa vijana?
Tigo naona ndo too much! Kwa mfano ukijiunga na kifurushi cha mwezi cha fb na whatsapp unatumia siku moja au 2 tu unashangaa kimeisha. Haya makamouni yamekaa kiwizi wizi sana
Lakini ubishi wako utakufikisha mahala ambapo sipo. Enzi za Lutu na Nuhu Mungu alionyesha mpambano kwa mwanadamu lakini baadae akasema sitabishana na mwanadamu tena. Rejea maandiko Mwanzo 6:3. Na hapo ndipo aliposema umri huyu mwanadamu utakuwa miaka 120 badala ya ile ya wakati wa akina Nuhu
Kwa hiyo mkuu umeoa au la? Angalia hawa watu ni viumbe hatari sana! Take care mkuu maana yalishanikuta na mimi. Kumbuka mshahara wao ni kiduchu sana lakini anakununulia kinywaji! Hapo lazima hela anazipata kwa watu kama wewe na ujue hapo kwako anawekeza tu maana keshakuona mbulula
Kuna rafiki yangu alinichekesha kwa kuniambia eti wale waliokuwa vilaza darasani ambao ni watoto wa vigogo ndio huajiriwa na serikali hivyo hawawezi kushinda kesi hata moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.