EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Hahahahaaaa.... Kwanini unasema hivyo Mkuu?![]()
![]()
![]()
Mkuu, nasema si bure mana kimtokacho mtu ujue kipo ndani yake...
Mkuu Inaonekana mahakama zimekuenyesha sana...
Hahahahaaaa.... Kwanini unasema hivyo Mkuu?![]()
![]()
![]()
Mkuu, nasema si bure mana kimtokacho mtu ujue kipo ndani yake...
Mkuu Inaonekana mahakama zimekuenyesha sana...
Aaaah usiulize mkuu ilo ndo jibuHaah mkuu kwahiyo mungu kachukua kupitia tigopesa
1. Kuna njia ya kwanza unafungua Control panel> the click Administrative Tools > then click Services> then rightclick Background Intelligent Transfer Service (Utaona option mbalimbali, click STOP), unakuwa umemaliza.
2. Njia ya pili, kwenye start menu ya pc yako (kama unatumia pc) itafute Resource Monitor (sina hakika kama kwenye windows nyingine ipo maana mi natumia windows 10), then nenda kwenye menu ya Network na urightclick svchost.exe (network service), then bonyeza End process kama nilivyokuwekea kwenye screenshot, unakuwa umemaliza.
Hahahaha umeona mkuuHata Halloteli majizi,kila nikijiunga na kifurushi cha chuo MB 600 baada ya dakika 5 wanasema kimeisha wakati nimebrowse JF tu
Kwa aina hiyo ya avatar yako si rahisi MB 600 kupona!!Hata Halloteli majizi,kila nikijiunga na kifurushi cha chuo MB 600 baada ya dakika 5 wanasema kimeisha wakati nimebrowse JF tu
Kwa aina hiyo ya avatar yako si rahisi MB 600 kupona!!
Haaaaaa.... Ila fanya utafiti kwa prgm zinazojiupdate zenyewe bila ww kujua...Hata Halloteli majizi,kila nikijiunga na kifurushi cha chuo MB 600 baada ya dakika 5 wanasema kimeisha wakati nimebrowse JF tu
Hilo ndo jibu mkuu na utasumbuka hadi ukate tamaa.. Pata picha nilifanya muamala tar. 23 mwezi july hadi leo kimya kila nikipiga naambiwa masaa 72Mimi imenitokea leo hilo jambo
....nimetuma pesa ili mzazi wangu aweze kununua dawa na mpaka sasa hivi nonavyoongea pesa haijafika..ukipiga unaambiwa masaa 72