Mbona chama chenu wakati kinahaha kupata bilioni 4 za kugharamia mkutano mkuu wa chama chenu hamkuhamasishana kuchangia?
Charity begins at home.
Wewe hadi usikie toka kwa mtu ndo ubandike wala hutumii akili kuona alichoandika kina mashiko au la!!!!!!!!!!Wanaukumbi.
Kama nilivyoipokea sijapunguza kitu wala kuongeza kitu makamanda.
View attachment 394369
View attachment 394372
Na nyinyi si mtoe kodi kwa hiyari mjenge makao makuu yenu. Haina haja ya kulia lia.Ofs za ccm zimejengwa kwa kuwalazimisha wananchi kutoa kodi kilazima
Jikite kwenye mada mambo ya baba jesca yanakujaje, yani sisi watanzania ni wa hovyo hovyo sana hapa tunaongelea kumchangia mwenyekiti wewe unaingizia na hisia zako zingne.Kama mngekuwa pia mnamshauri baba Jesca aziache mamlaka alizoziweka kisheria ziwe huru katika utendaji, leo hii mizigo ingekuwa imejaa bandarini na hivyo kuharakisha safari yetu ya kuifikia Tanzania ya viwanda. Lakini mmeamua kumwachia yeye aamue kila jambo la kiutendaji kwenye wizara na idara za serikali na hivyo kujikuta mnafeli kwenye kila jambo. Ni vema kama mtajitathmini upya.
Yaaani wewe unatuletea huu uzi wa mla rambirambi?Wanaukumbi.
Kama nilivyoipokea sijapunguza kitu wala kuongeza kitu makamanda.
View attachment 394369
View attachment 394372
Mkuu kwanza huyo lukosi tangu lini akawa na ushauri kwa cdm? Ni uzandiki mtupuMbona chama chenu wakati kinahaha kupata bilioni 4 za kugharamia mkutano mkuu wa chama chenu hamkuhamasishana kuchangia?
Charity begins at home.