nakuunga mkono mguu na kichwa kila siku nilikua namuomba aseme ukweli ye hataki haya yamemkuta hata akienda ACT km atakua domo zege juu ya richmond hata udiwani hapati tutamkata tu
mapenzi yamegeuka elimu huyu masters yule diploma au chety hivi mmesahau kuna PHD zingine mashoga? tafuteni mashababi hata akiokota vyupa poa mbona jioni tunatoka chicha wote cocobeach na usiku PHD zetu za viuno zinaburudisha vya kutosha khaaaaa
alafu awe dini flani ili iweje mbona una mwaka...
mimi nimkumbushe tu bro kua huyo madabida ana kimavi asipoangalia atamdondosha kweli uchaguzi ulioputa alishindwa ubunge kilwa kwa maneno yake ya jeuri kwa wanakilwa leo kwa dini yetu haya ngoja tuone
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.