Recent content by Khawarizm

  1. Khawarizm

    Man Arrested for Having Sex with Pit Bull (Dog):

    Ni ukosefu wa Imani, ama ni ujinga wa kuchaguwa kwa sababu eti "his rights", jee rights za huyo mnyama au sababu hawezi kuongea? Maana hivi juzi juzi tumeona ndoa baina ya binadamu na mbwa ikibarikiwa na mchungaji tena eti wanasema yule mbwa ndio mwanzo alitaka awe yeye ndio bwana harusi lakini...
  2. Khawarizm

    tunapoteza muda na kuunda serikali 3, kama moja haiwezekani

    Hili gazeti lako ulianza visuri sana ila mwisho lazima ufanye ule unani hino :eek:wako
  3. Khawarizm

    Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa

    Pumba kapi za mpunga, maganda na unga wa mbao, mabuwa ya mahindi au mtama, vifuru vya nazi, anyone of these na ukichanganya na jothra au jina jingine m'bono ndio inakuwa kiboko. Unahitaji kusindika hivyo vitu kwa kutumia pellet making machine au briquettes making machine. Kama huna hiyo unaweza...
  4. Khawarizm

    Bishop Desmond Tutu aanzisha chama cha mashoga!

    Mnh kumbe Dan Brown hakukosea ile movie enh?
  5. Khawarizm

    kiwanja kinauzwa 2000000

    Milioni mbili au umekosea?
  6. Khawarizm

    Huu ndo ukweli kuhusiana na Wazanzibar na Mijadala yao

    stormryder, Yes they called wazee wetu wana Afrika SAVAGES na hao Wayahudi unaowasifu wanawafanyia wakimbizi wa Afrika wa Sudan ya Kusini, Ethiopia, Eritrea na Wengineo unyama na ubaguzi na hata kuwapiga sindano za kuwafunga uzazi wale Mayahudi Falasha wa Ethiopia waliowaleta wenyewe na kuwapa...
  7. Khawarizm

    Huu ndo ukweli kuhusiana na Wazanzibar na Mijadala yao

    Mji Mkongwe wa Zanzibar umejaa wa Tanganyika na biashara za vinyago, sanaa za Tingtinga na Batik. Kariakoo Dar na Mikoani wengi WaZanzibari wenye maduka makubwa ya vitu vya lazima kwa Watanzania kama nguo, vyakula, maji vikiwemo vifaa vya ujenzi, vyombo vya nyumbani na hata magari. Hebu...
  8. Khawarizm

    Huu ndo ukweli kuhusiana na Wazanzibar na Mijadala yao

    Nami nakusoma Mkuu, hawa watu wamesomeshwa kwa mchakachuo imebidi tufanye de-contamination.
  9. Khawarizm

    Huu ndo ukweli kuhusiana na Wazanzibar na Mijadala yao

    Mzee Rukhsa aliekuja kuwaokoa na kuwaachia huru baada ya kifungo miaka 23 cha utumwa wa Nyerere kasoma Zanzibar na Salim Ahmed Salim aliekuja kuboresha JWTZ as Waziri wa Ulinzi na Baadae Waziri Mkuu amesoma Zanzibar. Na tayari CCM inamwandaa Urais 2015. Teh teh teh. Nyinyi kama si Wapemba...
  10. Khawarizm

    Wazanzibar muungano tutaununua...

    Sychelles haiko katika.Muungano wa Africa Mashariki wala wa Tanganyika, ndio I nikakujuuulisha kuwa Sychelles ambayo ndogon na haina hata cash crop kama Zanzibar ni tajiri kuliko zote Afrika. Sasa wewe unaelia kuwa Zanzibar ikiwa katika mamlaka yake itarudi ipige magoti kwa Tanganyika manaake...
  11. Khawarizm

    Wazanzibar muungano tutaununua...

    Kwani wewe Makamee ndio wale waliofungua macho wakawa wameuona huu Muungano tu yaana hata hawakuona macho ya wazee nao enh? Teh teh teh. Unajuwa kama Sychelles ndio nchi tajiri kuliko zote katika Africa?
  12. Khawarizm

    Wazanzibar muungano tutaununua...

    Wewe Makame kama mzanzibari kwelu una maslahi yako binafsi usiwe kitatange ukawaingiza wenzio. Lakini kwa hiyo aina ya kejeli unayotoa wewe ni hao tulowazoea hapa akina Pasco na fake Makame ID.
  13. Khawarizm

    CCM na Hatima Ya Bunge La Katiba

    Pasco, Umenukuu maneno yangu ya paragraph ya mwisho katika post yangu nilomjibu Mchambuaji kwa kulitoa jina la Parameter kwa mantiki gani? gombesugu, CHAMVIGA
  14. Khawarizm

    CCM na Hatima Ya Bunge La Katiba

    Ulamaa Boko, Unajuwa hapo Tanganyika kuna vijana wengi wamepata fursa kusoma mpaka kuhitimu vyuo vizuri tu hasa vya Kanisa na kutoka kidedea lakini kuna kitu walicholishwa ambacho hawakijui nacho ni dhana ya dini ya kristo dhidi ya uislam. Na hii imepelekea kusomeshwa historia ya...
  15. Khawarizm

    Wazanzibar muungano tutaununua...

    Saudi Arabia kuna wakristo wengi ila unajuwa wanaishije? Uilingnishe Saudia na Zanzibar, unaijuwa demography ya Zanzibar wewe? Unaona Kanisa la St. Joseph hilo hapo liko katikati ya mji wa Kiislam katika, mji Mkongwe Zanzibar tokea enzi za Sultan. Saudia wakristo wamejengewa compound...
Back
Top Bottom