Recent content by Khams

  1. K

    Niambie kituko kimoja ushawahi kutana nacho kwenye filamu za bongo, mimi nilikutana na hiki...

    Muda wote anakua ameyunisha misuli ya kichwa hata akiwa Bar...
  2. K

    Top 10 saddest songs of all times

    Goodbye - Celine Dion See you again - Wiz Khalifa ft Charlie Puth (Fast and furious 7 dedicated to Paul Walker) You are not alone - Michael Jackson Kifo cha mahaba - Shakila Ukimwona - Diamond Mapenz yanarun dunia - Ali kiba
  3. K

    Top 10 saddest songs of all times

    Unahitajika kuwa na ujasiri wa hali ya juu kuuskiliza huu wimbo hadi mwisho bila ya kupata hisia yoyote
  4. K

    Hasara za Kukurupuka! Jinsi ya kudownload nyimbo bure Wasafidotcom

    Ukitaka kuchagua nyimbo unayotaka kwenye website unafanyaje? Mana inafunguka blank hii link ya mwanzo mkuu
  5. K

    Msaada: Tofauti ya sumsang origional s5 na clone

    Utatofautishaje samsung galaxy s5 origional na clone?
  6. K

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Nimekuelewa kama bible is just a history book iliyotengenezwa na watu lakini SIO KITABU CHA YESU AU MUNGU.
  7. K

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Hata Qur-an ilianza kwa kuandikwa kwenye miti ka hivyo, ila ilivyokuja ilikua kamili kwa kuwa na sura na mistari. so hakukua na "wataalam" walioweza kubadilisha muundo wa Qur-an na ndio sababu hadi leo ipo kwa lugha moja tu.
  8. K

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Hii project ilikua ni ya miaka mingapi? na kama alifanya yeye na mkewe bibi Khadija iliwezekanaje Bibi Khadija akakubali Mtume aoe wake wanne? is it possible kwa mtu kujipangia kero? Au inawezekanaje mwenye project kujigombeza kwa kosa ulilolifanya? i.e alipomgeukia na kumkunjia uso mtu asiyeona...
  9. K

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Ni sawa na kuuliza alipata wapi idea ya kukuumba wewe kama ulivyo au alitumia akili gani ya kuumba mbingu na ardhi bila ya kuweka nguzo hata moja.... Simply ni kuwa Qur- an ni muongozo wa maisha wa zama za mtume Muhammad (S.A.W) unaowaeleza watu waishije, i.e ibada zao, ndoa, mirathi, mali n.k...
  10. K

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Ukisema "wataalam wakaweka sura na mistari" unamaanisha nini? does it means kuwa bible inakuwa modified kutokana na matakwa ya watu husika? Au ilivyoandikwa mwanzo haikukamilika sawa sawa?
Back
Top Bottom