Goodbye - Celine Dion
See you again - Wiz Khalifa ft Charlie Puth (Fast and furious 7 dedicated to Paul Walker)
You are not alone - Michael Jackson
Kifo cha mahaba - Shakila
Ukimwona - Diamond
Mapenz yanarun dunia - Ali kiba
Hata Qur-an ilianza kwa kuandikwa kwenye miti ka hivyo, ila ilivyokuja ilikua kamili kwa kuwa na sura na mistari. so hakukua na "wataalam" walioweza kubadilisha muundo wa Qur-an na ndio sababu hadi leo ipo kwa lugha moja tu.
Hii project ilikua ni ya miaka mingapi? na kama alifanya yeye na mkewe bibi Khadija iliwezekanaje Bibi Khadija akakubali Mtume aoe wake wanne? is it possible kwa mtu kujipangia kero? Au inawezekanaje mwenye project kujigombeza kwa kosa ulilolifanya? i.e alipomgeukia na kumkunjia uso mtu asiyeona...
Ni sawa na kuuliza alipata wapi idea ya kukuumba wewe kama ulivyo au alitumia akili gani ya kuumba mbingu na ardhi bila ya kuweka nguzo hata moja.... Simply ni kuwa Qur- an ni muongozo wa maisha wa zama za mtume Muhammad (S.A.W) unaowaeleza watu waishije, i.e ibada zao, ndoa, mirathi, mali n.k...
Ukisema "wataalam wakaweka sura na mistari" unamaanisha nini? does it means kuwa bible inakuwa modified kutokana na matakwa ya watu husika? Au ilivyoandikwa mwanzo haikukamilika sawa sawa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.