Mnaweza mka saini huo mkataba mkauacha mahakamani/hakimu kisha mkaongozana na mnunuzi hadi benki kuhakikisha amelipa. Baada ya kulipa kwa wote ndio anakabidhiwa mkataba.
Lukuvi ameonyesha jitihada kubwa kusaidia wanyonge kupata haki yao. Hongera sana Lukuvi endelea kupiga kazi hata ukifanya vema kuna watu watatokea tu kupinga. Sikuona jitihada zozote za uliyempokea zaidi ya kuongeza migogoro ya ardhi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.