Recent content by Kete Ngumu

  1. Kete Ngumu

    Wanaume wengi wananiogopa, hawajiamini nikiwa karibu yao

    Ninachojua kwa dunia ilipofikia sasa wanaume huwa hawapendi kukaa au kujichanganya na wanaume au mwanaume mwenye kiashiria chochote cha wa left group.
  2. Kete Ngumu

    Kwa biti la Kagame wasithubutu tena kupeleka vikosi Goma

    Saa ii tz tuna geshi la ccm ambalo kiukweli halina moja wala 2, linauwezo wa kupiga wanainji wake tu na sio adui. Hongereni chama tawala
  3. Kete Ngumu

    GE2025 Zitto: Tumeshajua wanaibaje kura, tumepata mbinu ya kuwakabili

    Ni Ni kosa kubwa sana kumuamini huyu mganga, hili ni duka la ccm.
  4. Kete Ngumu

    Je, Wachaga wamenyanga'nywa CHADEMA yao?

    Je Waislam watamchagua mwanamke kuwa kiongozi wao? Watampa Mungu hakibyake au watampa shetani?
  5. Kete Ngumu

    Mimi nikiwa Rais wa Tanzania huu ujinga wa mechi ya Simba vs Mashujaa kamwe hautakuwepo

    Unafikiri mpira ni mali ya Watanzania kama kilivyo kilimo cha jembe la mkono na pembejeo za kukopeshwa?
  6. Kete Ngumu

    Nishaurini nichague yupi kati ya hawa. Niko njia panda

    Hujakua hata bado mtoto kbs kwasababu hujui unataka nini.
  7. Kete Ngumu

    Kumbe Aziz K muislam?

    Mpeni Msikiti maana haujitaji elimu yoyote tu anaweza swalisha.
  8. Kete Ngumu

    Ni kitu gani kati ya hivi vinaongoza kwa kuleta msongo wa mawazo (Depression)?

    Kufilisika, hii kitu sikia tu kwa wenzio isikukute.
  9. Kete Ngumu

    Israel kwafukuta. Natenyahu akabiliwa na upinzani kila kona!

    Wapigwe tu hakuna namna, wakiitawala dunia hao mbwa watatuchinja kama kuku
  10. Kete Ngumu

    Teknolojia ya Kesho: Je, Upo Tayari Kuishi na Robot?

    Wazungu bwana wanatuweza sana, kwa i hizo wanaziita robot wangeziita tu mashine wangepungukiwa na nini? Hichi kitakataka cha kuokota uchafu ndani wanachokiira roomba hakuna tofauti na vigari flani vya watoto ambavyo navyo vikitembea vikigusa kitu vinahama hadi kinatika ulipokuweka bila...
  11. Kete Ngumu

    PreGE2025 Kassim Majaliwa: Rais Samia Mitano tena, na mimi bado nauhitaji Ubunge

    Tunajua Mzee hana furaha ila afanye nini kibibi kinatisha kimekuwa kiuaji chenye tai/kiremba chekundu.
  12. Kete Ngumu

    Uadui siasani uko huku chini kwa akina Mdude vs Lucas kule Juu Dr Nchimbi amesema " Mbowe alinipigia Simu mara 5"

    Kwahiyo umemaanisha nini hapo? Kwamba wasiwepo wanasiasa wadogo?
Back
Top Bottom