Recent content by KESHa

  1. K

    Ujenzi wa vituo vya mafuta vijijini

    Ndugu zangu nimekuwa na nia ya kutumia fursa iliyotangazwa na WIZARA YA NISHATI ya ujenzi wa vituo vya mafuta vijijini vya gharama nafuu kupitia EWURA nimeona natakiwa kupata KIBALI kabla ya ujenzi ila nimekosa sehemu nayotakiwa kupata kibali hiki naomba mwenye ujuzi na hili anielekeze maana...
  2. K

    Nifanyeje kujenga Kituo cha kuuza mafuta?

    Mimi ni mtumishi wa Umma wa kawaida. Ndoto yangu ni kumiliki shell kituo cha kuuza mafuta eneo ninalokaa mtaji wa mafuta ni mkubwa na sheli ni moja na kuna wakati anaishiwa mafuta hata kwa week 2 watu wanakosa huduma. MIE SINA Mtaji ila natamani nikope hata kwenye mabenk ya uwekezaji nifungue...
  3. K

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Idala ya msingi jaman 0672 447378, 0755575327
  4. K

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Jaman mie pia naomba niulize juu ya hili hivi ni lazima mie nikitoka wilaya flani na ninae badilishana nar lazima aende wilaya hiyohoyoo??? Pia nahtaji wa kuja moro nkaenda dodoma wilaya yoyote
  5. K

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Moro nije Dodom wilaya yeyote idala msingi 0672447378
  6. K

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo ulanga morogoro niko tiari kwenda Dodom au pwani
  7. K

    Rais Magufuli awatimua Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mwenyekiti wa Bodi na Katibu Mkuu Uchukuzi

    kumbe na wewe unamatatizo we unadhan ccm wamemweka kwa maksudi yao wameshinikizwa na hali harisi wangeweka wengine wangekuwa pabaya
  8. K

    Magufuli afyeka 50 waliokuwa kwenye orodha ya kushiriki ziara ya Madola

    Kwa wale wenye mtazamo wa hapa na pale wasioangalia mbali watawabeza upinzani ila jua ujuavyo upinzani ndo umefanya leo tuwe na rahsi magufuli maana isingekuwa upinzani na Lowasa kujitoa wasinge mtafta mgombea mzalendo mchapakazi na msafi wangemtafta fusadi mwenzao na kumuweka HUU NI MPANGO WA...
  9. K

    Msaada wa kielimu Chuo cha IT

    Mimi ni kijana wa miaka 23 katika maisha yangu nilitaman kuwa IT sku moja ila kutokana na familia nkaambulia ualimu wa msingi sasa nauliza naweza soma hicho kitu maana nilipata four 26 mwaka 2010 na nina D 7 na C 2 chemistry na English. Math,phis , na mengine yote D nisaidien jaman 3...
  10. K

    Babu Seya, Papii Kocha wamlilia JK

    Si dhani kama hoja yako ina mantiki yoyote kama mahakama ishafanya kazi yake bas hakuna kutangazia kupitia vyombo vya habari kwa ufupi sioni mashiko katika hoja yako maana kisa kipo na lisemwalo lipo sio watanzania wote ni mbulula kama mnavo dhani! Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  11. K

    Huu ni uzembe au ni makosa ya wizara ya elimu?

    Uzembe tu! Na si hapo tu kila sehem inayoguswa na selikari uzembe kama uo upo mfano hazina walitoa mishahara kwa baadhi ya waalim ya miezi miwili wengine wakakosa miezi yote na wengine wakapata mwezi mmoja hawana maelezo ya maana shida tupu! Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  12. K

    Wanawake mna nini na hii kitu?

    Hiyo hua inatokea mara nyingi bint ukianza kumsifia mara kwa mara ila inabidi muwe na ukarbu frani yaani utabanjua kiulaini hata mie nisha apply its so easy tena hata hakusumbui! Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  13. K

    Nimenasa!

    Da! Its a big ishu hata mie nimenaswa ki hivo hivo hata mie nakosa cha kufanya! Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  14. K

    Ningejua nisingeoa maishani mwangu

    It doesn't matter kama yeye ndo analeta mtafaruko kwenye ndoa au sie lakni kila mtu kama kalelewa na wazazi wake nikazi sn kuendana kwa kila hali Namsapport mshua! Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  15. K

    Punguzo la PAYE kwa asilimia 1 ni dhihaka kwa wafanyakazi!

    Naomba mnukuu usemi wa Mandela. "It is said that no one truly knows a nation until one has been inside its jails. A nation should not be judged by how it treats its highest citizens, but its lowest ones." Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Back
Top Bottom