wewe mamaisara....mbona huwazi yanayowapata wa tz wenzio?acha ubinafsi, kwa kuwa nduguyo kafariki ndio umhukumu dr.uli? kwa taarifa yako...muhimbili wodi ya watoto, watoto 500 hufariki kila mwezi kwa kukosa dawa na vipimo muhimu, je hawa si zaidi ya huyo ndugu yako mmoja? pili,..muhimbili wodini...