Chuo kikuu cha afya muhimbili kimewafukuza chuo baadhi ya wanafunzi wa mwaka wa tano na makumi wengine wamesimamishwa masomo kwa miaka miwili kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kutumiwa na chama pinzani(chadema)....inasemekana wanafunzi hao waliandaa na kushiriki katika maandamano ya amani kudai kurudishiwa serikali ya wanafunzi chuoni hapo.
Uongozi wa chuo cha muhimbili ulilazimika kuvunja na kutotambua uwepo wa serikali ya wanafunzi chuoni hapo baada ya uongozi wa wanafunzi na ule wa chuoni hapo kushindwa kuafikiana juu ya baadhi ya mambo fulani.... Ikiwemo kupitishwa kwa katiba mpya kandamizi kwa wanachuo!
Kitendo hicho kiliwauma wanachuo hadi kufikia hatua ya kuamua kuitangaza kero yao kwa kufanya maandamano ya amani.....hicho ndio kiliwapoza...
Uongozi wa chuo cha muhimbili ulilazimika kuvunja na kutotambua uwepo wa serikali ya wanafunzi chuoni hapo baada ya uongozi wa wanafunzi na ule wa chuoni hapo kushindwa kuafikiana juu ya baadhi ya mambo fulani.... Ikiwemo kupitishwa kwa katiba mpya kandamizi kwa wanachuo!
Kitendo hicho kiliwauma wanachuo hadi kufikia hatua ya kuamua kuitangaza kero yao kwa kufanya maandamano ya amani.....hicho ndio kiliwapoza...